mom..Alikuwa na kipaji cha pekee.
Muziki kwake ilikuwa ni andiko la kiroho.
Ukisoma mashairi yake ni kama unasoma Yohane 3:4-21(MFANO).
Lucky,aliweza kukuliza huku unacheza.
Aliongea maisha ya mwanadamu katika kiwango cha pekee kabisa.
Usizi"
Usizi emhlabeni
Izingane zilala zingadlile
Umama nobaba
Emsebenzini badiliziwe
Ubusuku bud'enganeni
Uma ingadlile
This part akiimba na ile sauti yake aiseee.
sonmom..
lucky dube he was genius " nasikitika kwamba " hapewi heshima yake vile haswaaa inavyostahikiHaya mashairi kama bado Kuna MWANAUME akisikiliza hatasaka wanae popote alikowaacha!!
BASI TENA!!
Remember me
Daddy, where ever you are remember me
In what ever you do I love you
Daddy where ever you are remember me
In what ever you do I love you
You left for the city many years ago
Promised to come back
And take care of us
Many years have gone by now
Still no sign of you Daddy
Mother died of a heart attack
Many years ago when she heard
That you were married again
Now, I'm the only one left
In the family
Lucky has what we call, ALIVE MUSIC.
muziki wake hautaweza kufa..
Maneno alichagua kuwasilisha HISIA zake,
yanafanya nyimbo zake kupumua,kula,kutembea,kuuliza,kujibu,kuliza.
AND ALL!!
Haaaaaa mkuu, kwaya ya mwenye heri anwarite MakuburiHatariii hafu sauti zilivyojipanga sasa kama kwaya ya mt.Yuda Thadei hapo ndio napopenda na biti lenye hisia kali
Acha bangiSenzo bado yupo hai mkuu
Hahahahaha tunapenda machoHahaaaaa nachowapendea wanawake hata nyie hamjui mnapenda nini hasa kwa mwanaume
Hapo kwenye list ongezea "Victims" I like itSalute..
Aisee naandika haya toka moyoni kabisa ndaaani kulee. Nampenda sana Lucky Dube nyimbo na mfumo wa maisha yake. Nimekua nasikiliza nyimbo,interview na shoo zake zinanivutia sana.
Katika nyimbo zake zote nilizowahi zisikia hakuna wimbo mbaya na usio na ujumbe wa kugusa.
Nyimbo kama
Hua nikisikiliza nyimbo zake napata msisimko wa ajabu sana na kufikiria jinsi Bara letu la Afrika tulikotoka na tulipo.
- Peanut butter
- Back to my root
- Hand of giveth
- I got you jah
- House of exile
- Slave
- Remember me
- No truth in world
- Think about children
- Don't Cry
- Group area act
- That is the way
- Is this the way
- Eyes of beholder
- God bless the woman
- Hold on
- Keep knocking
- Khululeka
- Usizi
- Crazy world
- Prisoner
- Feel irie
- Jah live
- Is not easy
- Can't blame you
- Don't say no
- Children in the street.
- N.k n.k
Kiukweli japo alikua ana mapungufu yake kama mwanadamu lakini nadhani alipo yupo mahali pazuri. Kutokana na juhudi kubwa alizofanya kuleta usawa miongoni mwa Watu wa rangi za mataifa mbalimbali pia kuchangia Liberation of African Continent. Niichojifunza toka kwake ni Kuishi vyema na kuwa mzarendo wa nchi yangu na bara letu kwa ujumla.
Lucky Dube miaka 11 sasa umetutoka lakini utaendelea kuishi moyoni mwangu daima, I wish mwanangu nimpe jina moja kati ya haya majina matatu (Nyerere,Lucky Dube, Da'Vinci)
"If you see Blackman suffering does it make you happy?
If you see Whiteman does it make you happy"
-LuckyDube_Hand of giveth
Kumbe kwako yanapatikana eeKwangu yamejaa tele kama hayo njoo uchukue..
Ila mkuu hizi verses umeniacha njia pandaOoh my god what I gonna do, Is this the that I gonna be??
I see this man every in a corner begging for a dollar and Dinne