We jamaa umenipa furaha asubuhi yote hii daaah nimeichukua nitaaikiliza na wife tukiwa tunaenda church ahsante sana mkuuAfrika kipaji hiki kilikuwa bora kupita maelezo.
Sikiliza hii Usizi wimbo mfupi lakini ujumbe mzito melody kali.
View attachment 3221813 Usizi emhlabeni
Izingane zilala zingadlile
Umama nobaba
Emsebenzini badiliziwe
Ubusuku bud'enganeni
Uma ingadlile
[English:]
Misery in the world
Children go to bed hungry
Mom and dad laid off
The night is long to a hungry child
Ameen mkuu umenibariki sana mapema hii ndio nyimbo sasa inakutia uchungu wa kutafutaDominika njema.
Kumbe alikuwa anaimba kile alikionja kwenye maisha yake daaah π₯Ήπ₯Ήπ₯ΉLuck Dube alikua kipaji cha Afrika SA hawakutaka kumpa jina kubwa kwa sababu ya ubaguzi wao maana jamaa alitokea Zimbabwe alilelewa na Bibi mmoja huko ndabeni akichunga ng'ombe katika makuzi yake kwa hiyo nyimbo za kuteseka akiimba ni maisha aliyopotia sio kuwa kasimuliwa alikua kichwa sana huyu jamaa..
Na ameimba nyimbo nyingi sana za kuwaponda kaburu kama wanajenga jela nyingi badala ya kujenga shule au hospital au I'm a Prisoner lakini Wazulu wanampotezea kabisa kama hajausika kwenye ukombozi wao kupitia muziki..Kumbe alikuwa anaimba kile alikionja kwenye maisha yake daaah π₯Ήπ₯Ήπ₯Ή
Aisee japo Kuna kuzazi nyuma kinaweza kuja kuelewa mara nyingi watu hupata ufahamu na umuhimu wako ukiwa tayari ulisharudi Kwa MuumbaNa ameimba nyimbo nyingi sana za kuwaponda kaburu kama wanajenga jela nyingi badala ya kujenga shule au hospital au I'm a Prisoner lakini Wazulu wanampotezea kabisa kama hajausika kwenye ukombozi wao kupitia muziki..
Huu wimbo naimbaga uongo mimi,na nakuwa nimezama kwelikweli nikiwa naimbaπππAfrika kipaji hiki kilikuwa bora kupita maelezo.
Sikiliza hii Usizi wimbo mfupi lakini ujumbe mzito melody kali.
View attachment 3221813 Usizi emhlabeni
Izingane zilala zingadlile
Umama nobaba
Emsebenzini badiliziwe
Ubusuku bud'enganeni
Uma ingadlile
[English:]
Misery in the world
Children go to bed hungry
Mom and dad laid off
The night is long to a hungry child
Asante sana Mkuu. Umenikumbusha mbali wakati nakua hizi ndio nyimbo tumekuzwa nazo uchagani.Afrika kipaji hiki kilikuwa bora kupita maelezo.
Sikiliza hii Usizi wimbo mfupi lakini ujumbe mzito melody kali.
View attachment 3221813 Usizi emhlabeni
Izingane zilala zingadlile
Umama nobaba
Emsebenzini badiliziwe
Ubusuku bud'enganeni
Uma ingadlile
[English:]
Misery in the world
Children go to bed hungry
Mom and dad laid off
The night is long to a hungry child
πππ Nilitegemea tu kuwa lazima kituko kiwepo JF utahuzunika kidogo na utacheka tenaHuu wimbo naimbaga uongo mimi,na nakuwa nimezama kwelikweli nikiwa naimbaπππ
Yeap nyimbo ambazo mkiwa mnasikiliza Kama familia mnatulia mnapata ujumbe safi sio Kama za sasa hiviAsante sana Mkuu. Umenikumbusha mbali wakati nakua hizi ndio nyimbo tumekuzwa nazo uchagani.
Sawa, lakini sasa uchagani na "umhsebhenzi kumanje zingazidile umanjane" si kutengeneza unnesessary confussion kwa mama Nifah bure? Ataelewa nini sasa? Au cassete yenu ilikuwa inatafsiri?Yeap nyimbo ambazo mkiwa mnasikiliza Kama familia mnatulia mnapata ujumbe safi sio Kama za sasa hivi
Ina maana sister umefika 40 yrs maana huu ni wa kitambo sana..Asante sana Mkuu. Umenikumbusha mbali wakati nakua hizi ndio nyimbo tumekuzwa nazo uchagani.
Sasa reggae karibu zote za Dube si kuna maneno ya kwao (Kizulu) Mkuu? Na tulikuwa tunasikiliza hivyohivyo.Sawa, lakini sasa uchagani na "umhsebhenzi kumanje zingazidile umanjane" si kutengeneza unnesessary confussion kwa mama Nifah bure? Ataelewa nini sasa? Au cassete yenu ilikuwa inatafsiri?