Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Hiyo mid 30’s tu bado Mkuu japo ndio naikaribia.Ina maana sister umefika 40 yrs maana huu ni wa kitambo sana..
Hizi walikuwa wanazipiga wajomba zangu kama dawa vile, asubuhi hadi usiku na ni tokea nikiwa mdogo hadi teen.