Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Watu wa Mpumalanga na Polokwane wengi ni Washona na wandebele wa Zimbabwe na hapa wa Zimbabwe ni kama raia tu ndio maana Serikali ya SA inapigana sana kupunguza gepu la wao kuingia maana wakishaingia ni rahisi kuchukua ndugu yake yeyote aliepo hapa na kupewa Utaia hapa swala la uraia sio gumu sana kama utafata vigezo vyao..Lakini historia mbona inasema Lucky Dube amezaliwa Mpumalanga na mwanamama anaitwa Sarah Dube mnamo Agosti 3, 1964... Kwahiyo kidogo ni kama umenichanganya hapo kwenye uzimbabwe wake.
Unaweza ukaelezea kidogo hapo mkuu?
Anhaa kumbe, kwahiyo inawezekana ile asili halisi ya wazazi au mzazi mmoja wa jamaa ni Zimbabwe sio?Watu wa Mpumalanga na Polokwane wengi ni Washona na wandebele wa Zimbabwe na hapa wa Zimbabwe ni kama raia tu ndio maana Serikali ya SA inapigana sana kupunguza gepu la wao kuingia maana wakishaingia ni rahisi kuchukua ndugu yake yeyote aliepo hapa na kupewa Utaia hapa swala la uraia sio gumu sana kama utafata vigezo vyao..
And probably labda itakua baba yake ndio mwenye asili ya huko kwa maana jamaa alikimbia mimbaπ π π ila mama yake ni Mzulu na ndio maana huwa Lucky Dube anajitambulisha kama mzulu pia.Watu wa Mpumalanga na Polokwane wengi ni Washona na wandebele wa Zimbabwe na hapa wa Zimbabwe ni kama raia tu ndio maana Serikali ya SA inapigana sana kupunguza gepu la wao kuingia maana wakishaingia ni rahisi kuchukua ndugu yake yeyote aliepo hapa na kupewa Utaia hapa swala la uraia sio gumu sana kama utafata vigezo vyao..
Nipo na ndugu zake Dube ambao ni Wazimbabwe wengine wanakuja kuchukua magari huko Daslm wanaongea hadi kiswahili...wapo Watanzania wana case kama ya Dube na yupo jamaa hapa Mtanzania alifariki mama yake alishindwa kuchukua maiti na alizikwa na Wazulu akishuhudia maana alikua kapewa uraia na Wazulu washamfanya mtoto wao huku yapo mengi sana..And probably labda itakua baba yake ndio mwenye asili ya huko kwa maana jamaa alikimbia mimbaπ π π ila mama yake ni Mzulu na ndio maana huwa Lucky Dube anajitambulisha kama mzulu pia.
Kumbe, kwahiyo inawezekana hata bi Sarah nae ni magumashi tu, ila sio mzulu halisiaNipo na ndugu zake Dube ambao ni Wazimbabwe wengine wanakuja kuchukua magari huko Daslm wanaongea hadi kiswahili...wapo Watanzania wana case kama ya Dube na yupo jamaa hapa Mtanzania alifariki mama yake alishindwa kuchukua maiti na alizikwa na Wazulu akishuhudia maana alikua kapewa uraia na Wazulu washamfanya mtoto wao huku yapo mengi sana..
Mimi hapa niliwahi kuwa na huo uraia wa magumashi ili mambo yaende unapewa ID ya hapa unamshika mzee yeyote anakupeleka home affairs hakuna maswali mengi..Kumbe, kwahiyo inawezekana hata bi Sarah nae ni magumashi tu, ila sio mzulu halisia
Kumbe... Vipi sasa hivi umenyoosha mambo sio, kwamba umeukana utzπ πMimi hapa niliwahi kuwa na huo uraia wa magumashi ili mambo yaende unapewa ID ya hapa unamshika mzee yeyote anakupeleka home affairs hakuna maswali mengi..
Nilitumia kusoma na kufanya kazi nilipopata hela zao nikarudi na passport ya Tanzania ambayo haina nguvu kama nilivyokua nasafiri na passport ya SA hata driving licence yao natumia Nchi nyingi za Ulaya ambayo still bado ninayo maana sisi tuna leseni haina hata bar code inatambulika au mtu anaweza kukujua mpaka aende TRA au Polisi..Kumbe... Vipi sasa hivi umenyoosha mambo sio, kwamba umeukana utzπ π
Oyaaaa Mkuu ππππ umenichekesha sanaaaaaaSawa, lakini sasa uchagani na "umhsebhenzi kumanje zingazidile umanjane" si kutengeneza unnesessary confussion kwa mama Nifah bure? Ataelewa nini sasa? Au cassete yenu ilikuwa inatafsiri?
Halafu wewe nakufananisha na dadaangu wa kisambaa.Hiyo mid 30βs tu bado Mkuu japo ndio naikaribia.
Hizi walikuwa wanazipiga wajomba zangu kama dawa vile, asubuhi hadi usiku na ni tokea nikiwa mdogo hadi teen.
Sawa sawa Mkuu nimekuelewaNilitumia kusoma na kufanya kazi nilipopata hela zao nikarudi na passport ya Tanzania ambayo haina nguvu kama nilivyokua nasafiri na passport ya SA hata driving licence yao natumia Nchi nyingi za Ulaya ambayo still bado ninayo maana sisi tuna leseni haina hata bar code inatambulika au mtu anaweza kukujua mpaka aende TRA au Polisi..
Anhaa, poa mkuu.Nilitumia kusoma na kufanya kazi nilipopata hela zao nikarudi na passport ya Tanzania ambayo haina nguvu kama nilivyokua nasafiri na passport ya SA hata driving licence yao natumia Nchi nyingi za Ulaya ambayo still bado ninayo maana sisi tuna leseni haina hata bar code inatambulika au mtu anaweza kukujua mpaka aende TRA au Polisi..
Isanga family inaonekana una story nyingi sana wewe jamaa, ila ni vile tu unatubania kuzisimulia humu jamvini.Nipo na ndugu zake Dube ambao ni Wazimbabwe wengine wanakuja kuchukua magari huko Daslm wanaongea hadi kiswahili...wapo Watanzania wana case kama ya Dube na yupo jamaa hapa Mtanzania alifariki mama yake alishindwa kuchukua maiti na alizikwa na Wazulu akishuhudia maana alikua kapewa uraia na Wazulu washamfanya mtoto wao huku yapo mengi sana..
Usihangaike na uraia hawakutoi damu ukienda Canada ukiona wanataka uwe raia ili mambo yako yaende chukua Uraia wa Canada ukifanikiwa ukitaka urudi home unaweza kuja kuchukua Nida yao na Passport na mambo yanaenda iliwa ule kule ushaachana nao ukiamua unaishi na Uraia wa huko kama una manufaa ukitaka mali zimilikiwe hata na ndugu zako au Mama yako ambae yupo home ndio wanatumia wanasiasa na matajiri Bongo usiwasikilize sijui Uraia wa Tanzania unakusaidia wakati wengine wapo na Uraia hadi wa Australia na Viongozi ngoja leo niishie hapa..Anhaa, poa mkuu.
Kumbe, endelea mkuu utufungulie hizi code ili zitusaidie kwenye maisha maana wengi tumejifunga kwenye hilo shimoπ πUsihangaike na uraia hawakutoi damu ukienda Canada ukiona wanataka uwe raia ili mambo yako yaende chukua Uraia wa Canada ukifanikiwa ukitaka urudi home unaweza kuja kuchukua Nida yao na Passport na mambo yanaenda iliwa ule kule ushaachana nao ukiamua unaishi na Uraia wa huko kama una manufaa ukitaka mali zimilikiwe hata na ndugu zako au Mama yako ambae yupo home ndio wanatumia wanasiasa na matajiri Bongo usiwasikilize sijui Uraia wa Tanzania uanakusaidia wakati wengine wapo na Uraia hadi wa Australia na Viongozi ngoja leo niishie hapa..