Lucky “Moyo mashine” afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Nilishakuwa mzururaji kitambo kabla ya kuamua kujiunga rasmi Jamii Forums, hiyo story yake naikumbuka. tatizo la hawa machoko wanapenda kuwaambukiza wenzao ujinga, ni watu ambao wapo desperate.
 
Cocastic badilika kijana acha kusingizia homoni

Kifo kipo ila sio cha mateso kama John a.k.a lucky kijana wa mwanza ghana
Heeeeh maadam umeamua kunitag kabisaah, kwahiyo kifo ni ajabu au jambo geni?
Wanaokufa wote wakiwa vijana ni gays? Kifo kipo na haki epukiki.
Halafu sio kila gay anakufa kwa huo ugonjwa, na wala hatufanani life style.
But ahsante kwa ushauri, enjoy life n relaaax.
 
Dogo!, Ulikumbwa na nini hadi ukawa hivyo!?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…