Lucy Komba ajifungua

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Jamani nikimuangalia Lucy nakumbukaga tu lile balaa lake siku ya harusi na mzungu 🤣🤣🤣🤣. Wenyewe wameenda zao sijui mbudya wenyewe kuturusha roho wanazengo, wakapanda boti, shoga angu akawa busy anajipiga selfie mwenyewe , Mara mtumbwi usizame nini ? Wote wakadumbukia kwenye maji , jamani Mimi na Mama Sabrina tulicheka mwezi mzima🤣🤣🤣🤣🤣🤣, cheusi dawa alijua kutuvunja mbavu , na gauni lake mwenyewe kama la kipaimara cha miaka 1980 na skuna Zake nyeupe kama Ma nesi wa muhimbili🤣🤣🤣, Ila shoga tulimchamba muke ya muzungu🤣🤣🤣


Naona bibie kajifungua mtoto wa kike, hongera zake , na amenenepa mwenyewe , ndoa tamu , mi nilijua shoga umeachika maana hatujaona drama zako na mzungu kitambo, hongera mwaya
 
Huyo mzungu huo mkono wake ama amevimba?
 
Nakumbuka tulicheka mwezii aisee comment zako zilivunja mbavu watu halaf na simu yake nyeupe kashikilia mkononii samsung hivi ilipona ilikufa?
Halaf bina nakuja pm

Njoo pm binamu , yani kile kipindi ilikua balaa 🤣🤣🤣, watu walivunjika mbavu kwa kweli 🤣🤣🤣, Lucy alijua kutuvunja mbavu

Aliku amemechisha mwenyew , shela jeupe, skuna nyeupe na simu nyeupe🤣🤣🤣, simu haikupona🤣🤣🤣🤣
 

Nadhani mzungu alikuwa amemletea toka sweeden ilishikiliwa hakuna kuwekwa kwenye pochi ,bina una vitukoo

Pm nishakuja nasubiria majibu tu ya ufasaha lasivyo utakoga matusi
 
Sasa ka baby kakoapi tuone kama kamechukua ngozi ya baba au ya mama
 
Nadhani mzungu alikuwa amemletea toka sweeden ilishikiliwa hakuna kuwekwa kwenye pochi ,bina una vitukoo

Pm nishakuja nasubiria majibu tu ya ufasaha lasivyo utakoga matusi

Tayar binamu 🤣🤣🤣, Siku hizi shost umeokoka nini, umeacha kabisa kuchamba au msukuma kakunyang'anya simu shoga🤣🤣
 
Kumbe majungu na huku Jamiiforum ruksa!? Nilidhani ni Instagram tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…