Lucy Komba ajifungua

Lucy Komba ajifungua

Wanamegwa na wazungu
Wanamegwa na vibabu
Uso mkavu hawana aibu

Bado nipo nipo kwanza
 
Tayar binamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787], Siku hizi shost umeokoka nini, umeacha kabisa kuchamba au msukuma kakunyang'anya simu shoga[emoji1787][emoji1787]
Natamaniki kukutokea inbobo ila unatutisha bana na profile......tuwekee hata mguu tu basi
 
Nakumbuka tulicheka mwezii aisee comment zako zilivunja mbavu watu halaf na simu yake nyeupe kashikilia mkononii samsung hivi ilipona ilikufa?
Halaf bina nakuja pm
Hahahhahaha bina naukumbuka huo Uzi. Jamani tulicheka siku hiyo mweeh. Mungu azidi kuwatunzia ndoa yao na watoto wao...
 
Back
Top Bottom