Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamaniki kukutokea inbobo ila unatutisha bana na profile......tuwekee hata mguu tu basiTayar binamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787], Siku hizi shost umeokoka nini, umeacha kabisa kuchamba au msukuma kakunyang'anya simu shoga[emoji1787][emoji1787]
Tayar binamu 🤣🤣🤣, Siku hizi shost umeokoka nini, umeacha kabisa kuchamba au msukuma kakunyang'anya simu shoga🤣🤣
Hivi mzungu alimpata wapi?Nakumbuka tulicheka mwezii aisee comment zako zilivunja mbavu watu halaf na simu yake nyeupe kashikilia mkononii samsung hivi ilipona ilikufa?
Halaf bina nakuja pm
Hahahhahaha bina naukumbuka huo Uzi. Jamani tulicheka siku hiyo mweeh. Mungu azidi kuwatunzia ndoa yao na watoto wao...Nakumbuka tulicheka mwezii aisee comment zako zilivunja mbavu watu halaf na simu yake nyeupe kashikilia mkononii samsung hivi ilipona ilikufa?
Halaf bina nakuja pm
pakawa nakuomba pm one timeEuropa kuzuri mbona amekuwa mkubwa mara mbili au nachanganya watu hapa
Aliondoka kiduchu sasa amekuwa mmama au
Hivi mzungu alimpata wapi?
Hahahhahaha bina naukumbuka huo Uzi. Jamani tulicheka siku hiyo mweeh. Mungu azidi kuwatunzia ndoa yao na watoto wao...
Nimejibu mbona jaman binamu
Kwa hiyo huyo ni Kibabu?Wanamegwa na wazungu
Wanamegwa na vibabu
Uso mkavu hawana aibu
Bado nipo nipo kwanza
Hahaa hadi kucheka kumekaza jamani. Ila kipindi kile hili jukwaa lilikuwa motooooooJamani bina siku hizi hata hatucheki sana sijui maisha yanazidi kukazaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaa hadi kucheka kumekaza jamani. Ila kipindi kile hili jukwaa lilikuwa motoooooo
Mbona huyu mzungu mwingine??
Wewe tulikuwa mateja wa jukwaa. Hivi lolowapi yuko wapi jamani?Pia tumezidi kukua zaidi tumeachaa ,zaman ukose hiili jukwaa hadi tunakesha jamani
Hapana bwana...tafuteni picha za zamani yule alikuwa kinyonyokeWewee ni huyoo huyoo
Hapana bwana...tafuteni picha za zamani yule alikuwa kinyonyoke
Wewe tulikuwa mateja wa jukwaa. Hivi lolowapi yuko wapi jamani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chaubishii