brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
kashazoea mbona!!
Kweli zamda??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kashazoea mbona!!
Afu huyo mzungu kama afya mgogoro jamani vinywele vimenyonyoka sijui yukoje hayanihusu ila najuwa wakuu
Hahahahah...alizama kabisa buuh...hahaha.,nimecheka
Kweli zamda??
Afu huyo mzungu kama afya mgogoro jamani vinywele vimenyonyoka sijui yukoje hayanihusu ila najuwa wakuu
kazoea ndio Brenda.
Afu huyo mzungu kama afya mgogoro jamani vinywele vimenyonyoka sijui yukoje hayanihusu ila najuwa wakuu
Hahahaaa turushe roho mamaa...mwanamke ndoaaa.....manung'ayembe wafanye maandamano tuuu, tena wafanye mapema kabla katiba mpya haijapitishwa...!
Alaaaa chezea kuwekwa ndani weyeeee,watu wanakesha kwa wagangaaa wanatafuta tu hata wa kuwasogeza kwa hilo hongera zake
Ngoja nimtengee msukuma wangu chakula,
Hilo ndo la maana...chezea ndoa....!
Halafu age yake ilikuwa ishasogea sogea...muacheni aturushe roho kabla hawajagombana...
Haya na ukifanyishwa mapenzi na mbwa utuhabarisheee piaaa