mommythebest
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 516
- 617
😀😀😀😀😀Hapo alikuwa mama K binamu si unaona pua pana kama dish la mediacom
Uwiiiiiii warumi umenichekesha eti gauni la kipaimara wanja wa ka kapakwa na wachawi umesahau hizo nywele zakeMi nilijua lile gauni lako la kipaimara ulilovaa kwenye harusi yako ilikua bahati mbaya kumbe ndo fashion zako, Lucy ni muigizaji mzuri sana na anajiheshimu ila huwa unaniangusha kwenye mavazi tu, ebu jaribu kwenda na wakati bhana, mtu umeolewa nchi za watu na pesa unazo ila unavaa kama mabeki tatu wa mbagala, yani unaniangushaga hapo tu, na sura imepauka kama umemwagiwa debe la unga, nguo unavaa za kishamba utadhani sio staa, badilika bhana tafuta wataalamu wa make up wakupake vzur, huo wanja wako kama ulipakwa na wachawi yani unatisha badilika aiseeh, sina bifu na wewe but unaniangusha sana na mavazi yakoView attachment 401439
Kuna post nimeona ya Leila rashid anaomba watu wamfollow jaman hiko kichambo alichokula, nyie watu wamedata sijui n ugumu wa maisha daaah, watanzania nawapenda sana kwenye issue ya kuchambana, aaah kweli mungu hajatunyima vyote, akili hatuna, elimu hatuna hadi kichambo jaman?? Aaah hapana bwana😀😀😀😀😀
Hehehe nakumbuka walivyozama na boti nilicheka nusu nnife
Heheheh unanichokoza eeeeeYaani wewe unachojua ni umbea tu.
Hivi mambo kama ya ma black holes unayajua kweli wewe?
Anaomba wamfollow yeye Leila? Ha ha ha elimu hatuna hata kichambo lolKuna post nimeona ya Leila rashid anaomba watu wamfollow jaman hiko kichambo alichokula, nyie watu wamedata sijui n ugumu wa maisha daaah, watanzania nawapenda sana kwenye issue ya kuchambana, aaah kweli mungu hajatunyima vyote, akili hatuna, elimu hatuna hadi kichambo jaman?? Aaah hapana bwana
Walizama wapi?Hehehe nakumbuka walivyozama na boti nilicheka nusu nnife
Hebu na wewe weka picha yako, usijekuwa unawasema wengine tu kumbe we ni zaidi.Mi nilijua lile gauni lako la kipaimara ulilovaa kwenye harusi yako ilikua bahati mbaya kumbe ndo fashion zako, Lucy ni muigizaji mzuri sana na anajiheshimu ila huwa unaniangusha kwenye mavazi tu, ebu jaribu kwenda na wakati bhana, mtu umeolewa nchi za watu na pesa unazo ila unavaa kama mabeki tatu wa mbagala, yani unaniangushaga hapo tu, na sura imepauka kama umemwagiwa debe la unga, nguo unavaa za kishamba utadhani sio staa, badilika bhana tafuta wataalamu wa make up wakupake vzur, huo wanja wako kama ulipakwa na wachawi yani unatisha badilika aiseeh, sina bifu na wewe but unaniangusha sana na mavazi yakoView attachment 401439
Heheheh kipindi cha harusi sijui walienda kisiwa gani si boti ikazama wakaokolewa ahahahWalizama wapi?
Ha ha ha na kibabu chake kama ki mwanaseseleHeheheh kipindi cha harusi sijui walienda kisiwa gani si boti ikazama wakaokolewa ahahah
Muulize warumi mbona tulicheka sanaaHa ha ha na kibabu chake kama ki mwanasesele