Ludisha heshima ya ndo mwanangu hapa

Mwanawane kwenye tikiti nna mm ni shahidi nambali moja,,ukigonga tikiti af ukaenda kumla mtu lazma aombe pooo
 


[emoji115] [emoji115] [emoji115]
Hii vipi mkuu?
Hii kitu hamna kitu ni hewa na utapeli mtupu.

Kuna mama nasikia maeneo ya Buguruni ndio aliipa sifa supu ya pweza kumbe alikua anatia viagra ndani yake.

Alipiga sana pesa za maboya.
 
Hii kitu hamna kitu ni hewa na utapeli mtupu.

Kuna mama nasikia maeneo ya Buguruni ndio aliipa sifa supu ya pweza kumbe alikua anatia viagra ndani yake.

Alipiga sana pesa za maboya.
Dah[emoji50] ! Sikuwa nafahamu hili, leo ndio nimefahamu. Shukrani mdau kwa maelezo.
 
Kwahyo
Kwahyo wenye vibamia tutumie carot sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…