Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hiyo hakuna kitu mkuu
Hii kitu hamna kitu ni hewa na utapeli mtupu.![]()
[emoji115] [emoji115] [emoji115]
Hii vipi mkuu?
Dah[emoji50] ! Sikuwa nafahamu hili, leo ndio nimefahamu. Shukrani mdau kwa maelezo.Hii kitu hamna kitu ni hewa na utapeli mtupu.
Kuna mama nasikia maeneo ya Buguruni ndio aliipa sifa supu ya pweza kumbe alikua anatia viagra ndani yake.
Alipiga sana pesa za maboya.
Siku hizi umekuwa na nidhamu sana!! Ila ngoja nijizuie kukupenda maana hata sikufaham[emoji102]Wanaume mkuje mnaitwa kumbe juice ya tende hiyo ndio kazi yake
Kwahyo wenye vibamia tutumie carot sioAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Leo nimeamua nije ya maada ya kufa mtu yaan ya kukata na shoka
Heshima ya mwanaume ni kupiga pu:mbu kweli kweli siyo lege lege tu mwishowe wanawake zetu wanatusalit hovyo hovyo
Twende pamoja mtu wangu usikosee hata kitu kimoja hakika mkeo au demu wako hatatoka tena nje ya ndoa
EBHANA EEE
TUMIA TENDE hapa kwenye tende tumia juis ya tende safi kabisa iliyo sagwa na kuchujwa fresh kwa utundu wa hali ya hatar sana , hii juic ya tende haina mazara mwilin kwa sababu yenyewe ni kitu asili,
Ukitumia juic hii lazima demu akukome mwana wane
TUMIA TIKITI MAJI mwana wane nakwambia hivi hapa kwenye tikiti maji kula had maganda yake pamoja na zile mbegu zake wala usihangaike kusubili zikauke au kusaga. Yaan hapa gonga hivo hivo wewe hakikisha tu tikiti lako umeliosha fresh lile lote tafuna taafuna lote mwana mwane
BADO TUNAENDELEA YAAN LAZIMA LEO LAZIMA TUWEKE HESHIMA YA NDOA
TUMIA KAROT ebhana ee yaan kitu kinachoitwa karot ni nouma mazee tafuna karot japo kilo moja kwa siku lazima demu akubali ukikutana naye ukipenda saga unywe kama juice
.ACHANA NA VUMBI LA KONGO NA VIDONGE MWANANGU hivo vitu vinamaliza nguvu pasipo wewe kujua acha kabisa kutumia hivyo vitu
Kama ushawah kutumia vidonge ukimaliza lazima ngosha huwa anauma hasa misul yake kwahiyo vidonge sio mambo mtu
Tumia sana karot mwanangu hasa kwa wanangu wenye vibamia karot hukuza kile kitu na kuwa kikubwa kama hogo
Ngoja kwa leo niishie hapo tukutane tena siku nyingine
LAZIMA LEO MADEMU WATUKOME MWANAWANE
LONDON BABY