Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Licha kuwataka wabunge walipe kodi kwa kila kipato wanachoingiza, pia si sahihi kwa wabunge kulipwa posho za kuhudhuria bungeni, wakati mishahara yao inalipwa kwa kazi mbalimbali, ikiwemo kuhudhuria vikao vya bunge.Huyu si ndo alikuwa CAG.
Anyways. Tufanye alisahau kuhoji mda ule.
MercenariesNi Tanzania tu ndio tunaongozwa na watu wa ovyo ovyo.
Wenye kujali matumbo yao kupitia Migongo ya watu masikin.
Wabunge wa Tanzania ni ma PARASITE(strictly facultative)CAG Mstaafu, Ludovic Uttoh amesema hakuna sababu za kwanini Wabunge wa #Tanzania hawalipi Kodi licha ya kwamba wana Mishahara kama walivyo Watumishi wengine wanaokatwa Kodi.
Uttoh amesema "Siku zote msingi wa Kodi ni Usawa na wala kodi haitakiwi kuwa na Matabaka. Ikiwa tunasema tunalipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi ni kwanini Wabunge hawakatwi?"
Akieleza zaidi, amesema hafahamu kama kuna Nchi nyingine Duniani ambayo Wabunge wake hawalipi kodi. Kwanza logic ya kufanya hivyo haipo".
Yanahubiri uzalendo huku yenyewe yakiishi kikupekupe. Upuuzi mtupu !! Yanadai hayajui vyanzo vya kodi Huku yenyewe yakilipwa bila kukatwa Kodi,chanzo kimojawapo ni kodi ya mishahara. Wanaopata vijicenti wanakatwa kodi Huku wao na mamilioni yao hawakatwi kodi. Ni aibu , aibu, aibu !!!!Wabunge Waanze kukatwa