Hata yesu aliwaua wasio muamini
Jesus never killed. He healed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yesu aliwaua wasio muamini
Hata yesu aliwaua wasio muamini
Kama habari hii ni kweli basi inakinzana na Mohammed said ambaye anadhani ni waislamu tu ndio walipata kiboko cha mwalimu Nyerere. Hii ndio mifano ilioachwa kusimuliwa na pengine mingi ipo.
Tukio lolote likisimuliwa upande mmoja linatupa mtihani wa kutafuta upande wa pili. Ni nini hasa kilipelekea haya kutokea.
Why today this story is back? Is Mohammed Said a target? Why it is here this day..........
Huyu ndiye mtakatifu wetu
Kama habari hii ni kweli basi inakinzana na Mohammed said ambaye anadhani ni waislamu tu ndio walipata kiboko cha mwalimu Nyerere. Hii ndio mifano ilioachwa kusimuliwa na pengine mingi ipo.
Tukio lolote likisimuliwa upande mmoja linatupa mtihani wa kutafuta upande wa pili. Ni nini hasa kilipelekea haya kutokea.
KITABU KINACHOELEZEA YALIYOWAFIKA WAPINZANI TANZANIA...
Toka nchi yetu iwe huru miaka hamsini sasa hajatokea Mtanzania akaandika kitabu cha aina hii. Watanzania tunaogopa. Hofu hiyo imeenea miaka mingi na imetushika hata sisi wanahabari wenyewe
Mwandishi ni Mtanzania ambaye amekuwa mkimbizi toka alipoachiwa kizuizi alipofungwa na serikali 1983- 1985 anasema tafsiri ya kitabu kuja Kiswahili itakuwa tayari kuuzwa Afrika Mashariki (kwa bei nafuu kuliko ya sasa Majuu) mwezi Mei au Juni.
Kilichapishwa mara ya kwanza 1994 (Dark Side of Nyerere's Legacy) na kampuni ya Wisdom House Publications kinapatikana kwenye AUDIO.
Kinapatikana:
+255 757 579305
+255 684 579305
wigotz@gmail.com