Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,451
umeongea vema, yawezekana kuliko wachangiaji wote humuNyerere alikuwa binadamu kama binadamu yeyote yule, alikuwa na mapungufu mengi na muda mwingine unaweza ukasema 'aaa hata hili nalo'. Ukimsikia kamara Kasupa, Kamaliza, Bibi Titi na wengineo wengi hasa waliokuwa wapigania uhuru na haki kupitia vyama vya wafanyakazi utaona dhahiri kuwa Nyerere alikuwa na mapungufu na kwa hakika kabisa aliyoyafanya kunyamazisha vyama vya kiraia yana athari katika uhuru binafsi wa mawazo na ushiriki wa wananchi mpaka leo hii. Kipi cha maana katika hayo mapungufu ya Nyerere? La maana ni kuwa misingi aliyoiacha Nyerere inaumiza na kuwanyima haki watu wengine mpaka leo hii aidha kwa kuendelezwa kwa baadhi ya udhalimu aliouacha ama kunyang'anywa haki kulikofanyika kwa watu hao. Sasa sisi yatupasa kutumia hayo kama darasa la kujifunza ili makosa yasije yakarudiwa. Tutajifunza vizuri zaidi kwa kusema ukweli wote, wote kabisa hata kama itaonekana sehemu fulani Nyerere alidanganya kwa kinachosemekana ni maslahi ya taifa kwa wakati huo, tuseme hapa Nyerere alisema uongo, tuutafute ukweli. Hatuwezi kujifunza kwa uongo kwa vile tu ulisemwa au ulisababishwa na Nyerere. Nyerere naye alikuwa binadamu kusema uongo ni sehemu ya ubanadamu huo!
bhana eeeeh.....!!! keshakufa huyo hebu muacheni huko alipo apate anayoyastahili, lakini msisahau kuwa aliongoza nchi kwa amani na utulivu kwa miaka 25 yaani ni kama nusu ya muda wa Tanzania ( cjui Tanganyika....!!!???) ,kwa maana nyingine ni kwamba nusu ya umasikini wa Tanzania ya leo umechangiwa na huyu bwana mkubwa, na mwenye kusoma na asomeNyerere kafanya maovu mangapi mpaka ushushe heshima yake? na je ukilinganisha na mambo aliyoyaweka katika utawala wake kwa lengo la kujenga umoja na amani ya nchi hii weka kwenye mizani ndipo upate jibu
Then jua kwamba hata ungekuwa wewe ndie rahisi lazima ungekuwa na maadui wengi tuu na ili utimize yale mawazo mema uliyokuwa nayo lazima kuna watu wataumia tuu.
Si vibaya kumuondoa adui mmoja na kuokoa maisha ya watu zaidi ya milion.
Great leaders always make great mistakes, Mwalimu was a great leader n thus he has fallen in that categorynyerere si mungu, ana udhaifu mkubwa.
Robert Ouko hajawahi kutaka kuipindua serikaliHio ndio wakati PIA Mzee NGAIZA akikuwa MATATANI??? Yeah ilisemekana walishikwa kwa kutaka kuivuruga serikali lakini waliachiwa... Sasa KENYA -waliotaka kuipindua serikali ya KENYA kama Robert AUKO waliishia wapi???
bhana eeeeh.....!!! keshakufa huyo hebu muacheni huko alipo apate anayoyastahili, lakini msisahau kuwa aliongoza nchi kwa amani na utulivu kwa miaka 25 yaani ni kama nusu ya muda wa Tanzania ( cjui Tanganyika....!!!???) ,kwa maana nyingine ni kwamba nusu ya umasikini wa Tanzania ya leo umechangiwa na huyu bwana mkubwa, na mwenye kusoma na asome
Nchi aliikuta ina UMOJA. Ingelikuwa haina umoja na ni yenye ukabila wale wazee waliomfuata shuleni ili aache kazi na kujiunga nao wasingelimfuata. Tazama kama walikuwa na ukabila au udini kisha uje na hiyo propaganda nzee.Nyerere kafanya maovu mangapi mpaka ushushe heshima yake? na je ukilinganisha na mambo aliyoyaweka katika utawala wake kwa lengo la kujenga umoja na amani ya nchi hii weka kwenye mizani ndipo upate jibu
Then jua kwamba hata ungekuwa wewe ndie rahisi lazima ungekuwa na maadui wengi tuu na ili utimize yale mawazo mema uliyokuwa nayo lazima kuna watu wataumia tuu.
Si vibaya kumuondoa adui mmoja na kuokoa maisha ya watu zaidi ya milion.
Bibi titi, Tuntemeke Sanga, Kasaga Tumbo walielewa yote hayo na bado tunasonga mbele. Mzee Kambona kama siyo yeye Nyerere sijui angeishia wapi wakati wa mvurugano wa wanajeshi? Zawadi yake tuliiona. Maisha yanaendelea.Hata mimi baada ya kusoma simulizi la Ludovick Mwijage nilipunguza Imani kwa Hayati JK!
Ludovick aliteswa sana na nyendo alizopitia ni dhahiri kabisa kulikuwa na Udikteta wa siri siri!
Ila kila jambo lina mwisho wake!
Mara nyingi viongozi wa huwa hawawapendi wanaowapinga kwa hoja nzit hasa inapotokea Siasa ni za Zidumu Fikra Sahihi za kama Mwenyekiti wa CCM!
Ludovick mwijage Mie namwonaga kama Shujaa!
Mtu anapimwa kwa kuangalia uzito wa mazuri na mabaya na namna ambavyo anatreat majority hakuna kiongozi duniani ambaye hafanyi maonevu kwa kundi fulani la watu. Likewise kwa JKNHio ndio wakati PIA Mzee NGAIZA akikuwa MATATANI??? Yeah ilisemekana walishikwa kwa kutaka kuivuruga serikali lakini waliachiwa... Sasa KENYA -waliotaka kuipindua serikali ya KENYA kama Robert AUKO waliishia wapi???
Huyu Mzee JULIUS alikuwa anatisha kumbe hata Yule Mchawi Sheik Yahaya Alikuwa TIS kazi kweli kweli !!!!!!
Nimesoma habari yote pamoja na Ku download hiyo PDF ndo maana nikawa na uhakika Wa kusema kuwa ni uzushi....
Bila Nyerere TZ isingestawi.....
Kituko, tafadhali fafanua hoja yako hapa; Mwijage alikuwa na akina nani wengine kwenye hilo 'kundi' lake?Pili huyu bwana na kikundi chake inaonekana ni kikundi cha ukabila (HAYA TRIBE) na kwa asilimia kubwa kina ushirikiano mkubwa na nchi ya jirani Uganda kutokana na maelezo ya huyo bwana