Iwilliam
Member
- May 10, 2015
- 90
- 30
Kiswahili ni lugha inayo jitegemea ingawa imetohoa baadhi ya maneno kutoka kwenye lugha nyingineLugha mbalimbali duniani zina maneno yenye asili ya lugha zA wengine. Huu ni ustaarabu wa lugha. Bado haikifanyi kiswahili Kia lugha ya kiarabu.
Kuna faida gani ukijua kiarabu ?
Na kuna faida gani ukijua kiingereza?
At least kiingereza nitakikuta kwenye interview, na presentation.....