Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Lugha mbalimbali duniani zina maneno yenye asili ya lugha zA wengine. Huu ni ustaarabu wa lugha. Bado haikifanyi kiswahili Kia lugha ya kiarabu.

Kuna faida gani ukijua kiarabu ?
Na kuna faida gani ukijua kiingereza?
At least kiingereza nitakikuta kwenye interview, na presentation.....
Kiswahili ni lugha inayo jitegemea ingawa imetohoa baadhi ya maneno kutoka kwenye lugha nyingine
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu


Watalamu wa lugha wamekutana na kutoa tasimin ya lugha kubwa na ndogo zinazozungumuzwa zaid afrika, wamedai kingeleza kinaendelea kuchukua nafas kubwa sana pia wamedai watu hujiona wajanja wanapozungumza kingeleza


1 KINGELEZA zaid ya watu milion mia moja wanazungumza kingeleza africa

2 KIARABU

3 KISWAHILI

4 KISUKUMA zaid ya watu milion 20 wanazungumuza kisukuma na penye watu kumi tanzania kuna wasukuma watatu

5 kifaransa

6 kichewa

7 kizuru



LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu


Watalamu wa lugha wamekutana na kutoa tasimin ya lugha kubwa na ndogo zinazozungumuzwa zaid afrika, wamedai kingeleza kinaendelea kuchukua nafas kubwa sana pia wamedai watu hujiona wajanja wanapozungumza kingeleza


1 KINGELEZA zaid ya watu milion mia moja wanazungumza kingeleza africa

2 KIARABU

3 KISWAHILI

4 KISUKUMA zaid ya watu milion 20 wanazungumuza kisukuma na penye watu kumi tanzania kuna wasukuma watatu

5 kifaransa

6 kichewa

7 kizuru



LONDON BABY
1. Arabic
2. Kiswahili
3.....
 
Hapana wanadai kingeleza kinazingumzwa sana mkuu
hapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.

haukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.

Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia

mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
 
hapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.

Ni sawa hukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.

Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia

mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
Ni sahihi.
 
Wewe uliyeleta hii habari naona hata lugha yenyewe ni shida kwako.
Kizuru = Kizulu
Kingeleza = Kingereza
 
Ungeweka picha ingekuwa bora zaidi. Lakini nina wasiwasi na ubinafsi wako kwa luga ya kisukuma!!!
 
hapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.

haukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.

Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia

mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
Ohoo bas itakuwa walikosea inabidi tuwasamehe
 
hapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.

haukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.

Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia

mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
you compare poorly. angalia hizo nchi zina watu wangapi ukilinganisha na nigeria na south africa mathalani. komoro, libya, mauritania zina watu wangapi. somalia hawazungumzi kiarabu, tunisia wengi huzungumza kifaransa, chad kuna wengi hawajui kiarabu wanapiga kifaransa. wakomoro wanazungumza kikomoro ambacho ni lahaja ya kiswahili
 
you compare poorly. angalia hizo nchi zina watu wangapi ukilinganisha na nigeria na south africa mathalani. komoro, libya, mauritania zina watu wangapi. somalia hawazungumzi kiarabu, tunisia wengi huzungumza kifaransa, chad kuna wengi hawajui kiarabu wanapiga kifaransa. wakomoro wanazungumza kikomoro ambacho ni lahaja ya kiswahili
bado mzee.
kwanza south wapo tkariban million 55 asilimia 9% tu ndiyo wanazungumza kirengeza.

Huko huko Nigeria kuna dialect ya Kiarabu pia.

sijui kama unajua Tunisia Arabic ndiyo official language na wengi wanakizungumza. Somalia nayo vilevile Arabic ni second official language na 30% wanazungumza Arabic.

Egypt inaimeza namba ya Mnaija maana na yenyewe ni Nchi yenye population kubwa Africa na bado wengi wanazungumza Arabic.

English inazungumzwa sehemu nyingi Africa ila sio na watu wengi. Chukulia mfano Tanzania hivi wangapi wanazungumza English?? Licha ya ukienda kila kata angalau utakutana na mtu anajua kuzungumza English.
 
Acha Uongo wewe... Kiswahili kingekuwa na Maneno Asilimia 60 ya kiarabu basi Tungeelewana karibu kwa kila sentensi... Maneno ya Kiarabu kwenye kiswahili ni yakutafuta sana hata 2% sidhani kama inafika... mimi nimesikiliza sana kwenye vipindi Tv Habari, Michezo na TAmthilia za Arabuni naambulia kwa nadra sana maneno ya yaliyoazimwa kwenye kiswahili... Kuna siku nilisikiliza wakasema maneno ya kiarabu yaliyoazimwa ni 30% nalo sikubaliani nalo either Kiarabu kimechange na hawayatumii tena hayo maneno au utamkwaji wake ni tofauti....... Tuache uongo aachiwe Jecha tu
Na kweli tungeelewana!
 
Natamani ningekuwepo niwe muanzilishi wa kiswahili enzi hizo
Just imagine !! Siku za mwanzo walipofika MaBABA yaani Masheikhs wa KIARABU pale pwani.., mwmbao wa Afrika mashariki... Sasa akina mzee JONGO,MKUDE,KOMBO nk nk walianzaje mawasiliano ?
Wakati huo makabila ya kiafrika kila mmoja ana lahaja yake na lafudhi mbali mbali za kanda mchanganyiko na mkanganyiko ......!!!
Lakini walipo wasogelea WAARABU ndipo wakawekewa kitaako na kutulizwa kwa kufundishwa lugha hii moja adhimu !!

hadi hii leo huwezi kuongea Kiswahili fasaha au sentesnsi kamili bila kutamka neon la KIARABU!! "bisha?
Fadhila itazingatiwa na itifaki iaheshimiwa..!!
@fibs,@dagii,mwayungi karibuni tujenge Kiswahili Afrikani kote
 
Back
Top Bottom