Kiswahili ni lugha inayo jitegemea ingawa imetohoa baadhi ya maneno kutoka kwenye lugha nyingineLugha mbalimbali duniani zina maneno yenye asili ya lugha zA wengine. Huu ni ustaarabu wa lugha. Bado haikifanyi kiswahili Kia lugha ya kiarabu.
Kuna faida gani ukijua kiarabu ?
Na kuna faida gani ukijua kiingereza?
At least kiingereza nitakikuta kwenye interview, na presentation.....
1. ArabicAman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Watalamu wa lugha wamekutana na kutoa tasimin ya lugha kubwa na ndogo zinazozungumuzwa zaid afrika, wamedai kingeleza kinaendelea kuchukua nafas kubwa sana pia wamedai watu hujiona wajanja wanapozungumza kingeleza
1 KINGELEZA zaid ya watu milion mia moja wanazungumza kingeleza africa
2 KIARABU
3 KISWAHILI
4 KISUKUMA zaid ya watu milion 20 wanazungumuza kisukuma na penye watu kumi tanzania kuna wasukuma watatu
5 kifaransa
6 kichewa
7 kizuru
LONDON BABY
Hapana wanadai kingeleza kinazingumzwa sana mkuu1. Arabic
2. Kiswahili
3.....
hapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.Hapana wanadai kingeleza kinazingumzwa sana mkuu
Ni sahihi.hapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.
Ni sawa hukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.
Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia
mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
Ohoo bas itakuwa walikosea inabidi tuwasamehehapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.
haukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.
Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia
mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
you compare poorly. angalia hizo nchi zina watu wangapi ukilinganisha na nigeria na south africa mathalani. komoro, libya, mauritania zina watu wangapi. somalia hawazungumzi kiarabu, tunisia wengi huzungumza kifaransa, chad kuna wengi hawajui kiarabu wanapiga kifaransa. wakomoro wanazungumza kikomoro ambacho ni lahaja ya kiswahilihapana maana... kiingereza ni lugha inayozungumzwa sehemu nyingi Afrika ila sio lugha inayozungumzwa na watu wengi.
haukwepi kusema kichina ndiyo lugha inayozungumzwa na watu wengi Duniani.
Chukulia
commoro 80%
Mauritania 88%
Egypt 93%
Libya
Algeria
Chad
Tunisia 90%
Somalia
mataifa yote hayo yanazungumza Arabic..tena wanazidi million 100 uliyoitaja.
Acha kutulisha matango pori.Hapana wanadai kingeleza kinazingumzwa sana mkuu
Wewe unakopi tu bila kujiuliza kichwani mwako? Naona hata ukikuta 1+1=4 utakopi tu na kuleta hapa.Ohoo bas itakuwa walikosea inabidi tuwasamehe
bado mzee.you compare poorly. angalia hizo nchi zina watu wangapi ukilinganisha na nigeria na south africa mathalani. komoro, libya, mauritania zina watu wangapi. somalia hawazungumzi kiarabu, tunisia wengi huzungumza kifaransa, chad kuna wengi hawajui kiarabu wanapiga kifaransa. wakomoro wanazungumza kikomoro ambacho ni lahaja ya kiswahili
Wanigeria wengi hawajui English! Inatumika sana pidgin na lugha zao... Haswa Hausa, Yoruba na IgboTakwimu hazipo Sawa.. Nigeria inazungumza English na inapopulation kubwa ila kwenye key ni tofaut
[emoji106]Tunaongelea Afrika, hivyo ukitoa lugha za kuazima, lugha kubwa inayotumika Afrika ambayo ni made in Afrika ni KISWAHILI.
Na kweli tungeelewana!Acha Uongo wewe... Kiswahili kingekuwa na Maneno Asilimia 60 ya kiarabu basi Tungeelewana karibu kwa kila sentensi... Maneno ya Kiarabu kwenye kiswahili ni yakutafuta sana hata 2% sidhani kama inafika... mimi nimesikiliza sana kwenye vipindi Tv Habari, Michezo na TAmthilia za Arabuni naambulia kwa nadra sana maneno ya yaliyoazimwa kwenye kiswahili... Kuna siku nilisikiliza wakasema maneno ya kiarabu yaliyoazimwa ni 30% nalo sikubaliani nalo either Kiarabu kimechange na hawayatumii tena hayo maneno au utamkwaji wake ni tofauti....... Tuache uongo aachiwe Jecha tu
Just imagine !! Siku za mwanzo walipofika MaBABA yaani Masheikhs wa KIARABU pale pwani.., mwmbao wa Afrika mashariki... Sasa akina mzee JONGO,MKUDE,KOMBO nk nk walianzaje mawasiliano ?Natamani ningekuwepo niwe muanzilishi wa kiswahili enzi hizo