Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Unaposema tueneke kiswahili africa nikwambie tu ukweli unajidanganya sema tu kienee apa apa east africa uwez mpelekea mzulu hii lugha akapokea tu kirahic au uyu mozambique aache kireno apokee kiswahili ni ngumu,tutabaki nacho tu kwa kuwa ndicho kilicho ingilika na kiarabu kikatokea hiki bac na akina uasili kama lugha nyingine ni chotara ukumbuke.
 
Haimaanishi Wanigeria wote wanazungumza kiingereza.

na hata hao wanaokizungumza Kiingereza, unakuta sio lugha mama yao, ni cha kuunga unga na kusoma darasani lakini wana vikabila vyao ambavyo wanavionea aibu kujinasibu navyo. Kwa
 

Mkuu hapo umekata funua kabxaa[emoji1321]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…