Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
<br />Ugomvi kwa wanandoa ni kawaida. Lkn hii tabia ya kurushiana maneno machafu tena mbele za watu sijui inatokana na nini. Hata mim nlishawah kushuhudia mke akimwambia mume wake tena kwa sauti ya juu "wewe ni malaya hapa mtaani nani asiyekujua? Ndio maana wanasema umeathirika , una ukimwi wewe!!"
<br />kugombana kupo ila yahitaji wehu wawili ili kuweza kuupeleka ugomvi wao nje ili kupata mashabiki.
<br />Haahahah....mpenzi hapo kwenye sauti nyoror ongeza na macho ya kurembua bila kusahau maneno matamu.Hawa watu ukiwajualia unaweza ukamaliza ugomvi mkubwa ndani ya dakika kadhaa...inabidi kuwe na mafunzo ya namna gani wanawake tunaweza kutumia uanawake wetu kuzima moto badala ya kuumwagia mafuta ya taa zaidi kwa ubabe.
Actually huwa inashauriwa wana ndoa wapeane space kwa mda hivi
inasaidia sana....
hahahah Lizzy acha tu mwanakwetu but sidhani kama wanaofanya makosa hapa hawajui !! Hapana nafikiri inafikaga wakati mvumilivu naye akachoka!! Nakumbuka siku mie nilipofunguka na kuongea kwa jazba huku nikigonga dashboard na kama vile haitoshi nikafungua mlango gari ikiwa kwenye mwendokasi kumlazimisha anishushe la sivyo naruka!!! Yeye mwenyewe aliniuliza kama nimeonja maana hakuwahiona wala hakutegemea!
So huwa kuna ile ya 'yamekufika pomoni'
<br />Labda kweli ana roho mbaya...na kumwambia sio tatizo maana akijua anavyoonekana kwa mwenzake anaweza kujirekebisha...tatizo ni walivyofikishiana ujumbe mpaka mwanainterijensia wa JF akauleta jamvini.
juzi nilishuhudia braza akiambiwa na mkewe kuwa ana roho mbaya kwa sababu ambazo sijui hasa chanzo chake nini. Mambo yalianzia room kwao na baadae ikawa ugomvi hadharani.
Kwa kweli walirushiana maneno mabaya sana. Kilichoniisikitisha ni kuambizana mmoja wapo ana roho mbaya na mwingine kumwambia alimuoa akiwa hana kitu hivo kamsaidia mpaka kafika hapo dharau ya nini.
Wadau nadhani lugha kama hizo kwa wapendwa si nzuri mwelekeo ni mbaya. Si vizuri kukumbuka yaliyopita wakati wa uchumba na pia kuona mmoja ana roho mbaya wakati bado wako pamoja. Wadau mwasemaje hapo?
...lol,...I can't wait to provoke you nisikie hicho kishindo, ha hahahhhaa...
Eti utaruka kwenye gari yenye mwendo kasi, weeee.....mimi ukiniudhi nafungasha vinguo vyangu kwenye kimfuko cha rambo nakutishia kuondoka!
hujasema bro wako nae alisema nn, kwa kweli maneno ya kurushian a huwa yanabomoa sana nyumba hasa sie wanawake tuna midomo sana, mpaka mume anaogopa kurudi home, kwa kweli mie sipendi kabisa manenomaneno, ni bora hata nipigwe kwenzi
..ila ndo isiwe fimbo ya kila siku maana ntakuwa sugu sitatishika tena!.............hiyo ya virago nayo ah......kuna watu wamebobea!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hi tabia ipo huku uswahilini kwetu. Yaani ugomvi haujaisha bila kupangiwa foleni na watu!! Halafu baadae unakuwa wimbo wa kitaa!
<br />Ah Mbu mpaka ifikie hapo, utakuwa kweli umedhamiria!<br />
Ufungashe, mwe! hapo utaniweza maana na uwoga nlonao ntakuwa mpole tu......ila ndo isiwe fimbo ya kila siku maana ntakuwa sugu sitatishika tena!.............hiyo ya virago nayo ah......kuna watu wamebobea!
Actually huwa inashauriwa wana ndoa wapeane space kwa mda hivi
inasaidia sana....