Lugha wanazotumia wanawake kupiga mizinga zinafanana

Kuna kitu nataka kukuambia utasikia Ninaomba hela ya kusuka, naomba uniongezee mtaji wangu, mama anaumwa , ninaumwa
 
Utasikia wanaanza na, "my nikwambie kt" mm nikisha onaga hiyo sms tu, fasta naingia mitini
 
Umeshau ya kuishiwa mtungi wa gesi.

Hili ni tatizo sugu kwa wadada wengi sana..

Tena gesi mtungi mkubwa.
 
Nataka kusuka, ila sijielewi.

Macho yananiuma lensi ya iwani sijui imechoka?

Rafiki yangiu amefiwa kwenye group kuna mchango wa darasa.

Leo nina hamu ya pizza take away
 
Mimi nliambiwa oven limeungua anashindwa kufanya baking sasa jaman kukutext tu kumeunguza kitendea kazi?
 
Dawa ni kuchukua vicheche tu,unakipasua unampa chake biashara imeisha,shida inaanza ukitaka kuweka kambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…