Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Sawa,
Just stop what you are doing..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,
Kuna kitu nataka kukuambia utasikia Ninaomba hela ya kusuka, naomba uniongezee mtaji wangu, mama anaumwa , ninaumwaKuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato kwa mdada au wadada unaofahamiana nao na kutoka nao.
Huyo lazima mbuluMama yupo Babati anaumwa, hapa ameniambia nimtaftie laki mbili alipie huduma, nimechanganyikiwa kabisa.
Utasikia wanaanza na, "my nikwambie kt" mm nikisha onaga hiyo sms tu, fasta naingia mitiniKuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume
🤣Na wewe wa babati nini [emoji38]
Umeshau ya kuishiwa mtungi wa gesi.Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato kwa mdada au wadada unaofahamiana nao na kutoka nao.
Unapochukua namba ya simu ya dada na kutoka naye kwa kinywaji au mlo wa mchana au wa jioni, inategemea jinsi alivyo na anavyojiweka lakini kifuatacho ni mzinga.
1) Kioo cha simu yangu kimepasuka au simu yangu imeharibika, sijui nafanyaje?
2) Nimefiwa na babu yangu mkoani, yaani hapa hata sijielewi
3) Kodi yangu ya nyumba imeisha, sijui unanisaidiaje?
4) Naumwa, nimeenda hospitali na nimeshamwona daktari, nimeishiwa hela ya dawa.
5) Kesho ni birthday yangu, hata sijui nafanyaje.
Kama yamekufika na wewe, ongezea yako hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aje kulia lodge ....ndo dawa Yao ...anakula huku umemuinamisha ...
Nataka kusuka, ila sijielewi.Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato kwa mdada au wadada unaofahamiana nao na kutoka nao.
Unapochukua namba ya simu ya dada na kutoka naye kwa kinywaji au mlo wa mchana au wa jioni, inategemea jinsi alivyo na anavyojiweka lakini kifuatacho ni mzinga.
1) Kioo cha simu yangu kimepasuka au simu yangu imeharibika, sijui nafanyaje?
2) Nimefiwa na babu yangu mkoani, yaani hapa hata sijielewi
3) Kodi yangu ya nyumba imeisha, sijui unanisaidiaje?
4) Naumwa, nimeenda hospitali na nimeshamwona daktari, nimeishiwa hela ya dawa.
5) Kesho ni birthday yangu, hata sijui nafanyaje.
Kama yamekufika na wewe, ongezea yako hapa.