GYNEOCOLOGIST
Senior Member
- Sep 13, 2016
- 171
- 110
Wakuu tusaidiane ili kujua lugha zetu coz sote ni watanzania, naomba kujua lugha ya kihaya, kwa kuanzia naomba kujua maana ya maneno yaafuatayo kwa kihaya:
Habari za asubuhi
Habari za leo
habari za mchana
Habari za usiku
Habari za nyumbani
Habari za kazi
salama
nzuri
Karibu kwetu
Karibu nyumbani
umetoka wapi?
ulikuwa wapi?
yuko wapi?
wako wapi?
Karibu chakula
karibu chai
Naomba maji ya kunywa
Naomba chakula
Najihisi njaa/naskia njaa
tutaendelea naomba tuanza na hayo
Habari za asubuhi
Habari za leo
habari za mchana
Habari za usiku
Habari za nyumbani
Habari za kazi
salama
nzuri
Karibu kwetu
Karibu nyumbani
umetoka wapi?
ulikuwa wapi?
yuko wapi?
wako wapi?
Karibu chakula
karibu chai
Naomba maji ya kunywa
Naomba chakula
Najihisi njaa/naskia njaa
tutaendelea naomba tuanza na hayo