Lugha ya kiingereza hata Kenya ni tatizo acheni Kujimwambafy.

Sasa kwani kuna kitu special na kiingereza? Si ni lugha tu kama Kimaasai, Kikikiyu au Kimeru? Sema mnajishuku kwasababu mmekomalia tu kwenye lugha moja ya kiswahili na hamtaki kabisa kujifunza lugha zingine. Ama labda uwezo wenu wa kung'amua vitu unawakwaza. Nyinyi wenyewe mashuleni mnafunza mkitumia kiingereza kutoka kidato cha kwanza hadi chuo kikuu.
 

Maelfu ya Watanzania wapo nje ya Africa wakifanya Maisha huko, Wachina na Wazungu na Wahindi maelfu kwa maelfu wanafika Tanzania na Kutoka kila siku,
Hawa wakija Tanzania wanahudumiwa kwa Kiluhya?
Are they complaining that they experience communication Challenges in Tanzania?
 
Kiukweli English ni very important language @ Tanzania can't move without English @ China ni tofauti sana na Tanzania nchi iliyojaa wazembe
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja.
 
Wachina wanazungumza kichina lakini wanawa sainisha mikataba ya ajabu kinoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
sema munatamani kuipata hio mikataba ila mbali na lugha, hata hio pesa yenyewe ya kulipia mkopo pia hamna. shithole country kabisa. LDC!
 
Nilikuwa Nairobi mwezi March 2019 kwa shughuri za kikazi. Niliambiwa Wakenya wamekuja NIDA kujifunza kuhusu utoaji wa National ID. Inashangaza unataka NIDA wakajifunze kwa watu ambao hawajaanza kutoa ID
Pole sana.
 
Karibu tena Kenya.
 
sema munatamani kuipata hio mikataba ila mbali na lugha, hata hio pesa yenyewe ya kulipia mkopo pia hamna. shithole country kabisa. LDC!
Wewe endelea na story za vijiweni, sisi tunasonga mbele huku nyie mlichobakiwa nacho ni chuki na wivu tu.
 
Yes they are complaining.
 
you know what 'Sarcasm' means?
Ona mkenya mwenzako alivyoandika kitu cha maana,
Wewe endelea kuandika ujinga na unajua uchumi wenu unaenda wapi pamoja na mnachofanyiwa na wachina.

 
wewe mwenyewe umechoka.
Hao mid income wa kimungiki wamezidi aisee,usa wamefanya kitu cha maana sana kwa kuwapa msaada kile chakula cha nguruwe,si kwa hoe hae hiyo aisee!halafu hapo ndio nairobbery huko turkana mid income sijui wako kwenye hali gani 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…