Lugha ya Mwili (BODY LANGUAGE)

Lugha ya Mwili (BODY LANGUAGE)

Naomba lete picha nne za Harmo Rapa, na Marehemu Dr Remmy na marehemu Kanumba ukiwa unaonesha body languages zao zinaashiria nini.

merengo90
 
Tuache kukaririshana kuna watu wamejifunza na kuweza kuzidanganya lie detectors itakua wewe kweli?

Eti kisa body language? Mtu hujaingia kipindi kimegewa maksi 5 unaenda kwa lecturer unapiga hadithi mpaka anaelewa na hapindui leo unaleta picha hivi na kuhitimisha ni sahihi kwa 100%?

Maajabu yake na wadau wakasapoti.

Katika dunia hii ambayo kuna tapeli aliwauzia watu mnara wa Eiffel si wangemsoma body language na kujua huyu tapeli? Haya huko mbali, kuna mama amemtapeli hadi raisi na ulinzi akagewa na kesi akashindwa hapo body language ilikuaje?

Kama umesomea au unasomea saikolojia mkuu naomba uniambie.
 
Tuache kukaririshana kuna watu wamejifunza na kuweza kuzidanganya lie detectors itakua wewe kweli?

Eti kisa body language? Mtu hujaingia kipindi kimegewa maksi 5 unaenda kwa lecturer unapiga hadithi mpaka anaelewa na hapindui leo unaleta picha hivi na kuhitimisha ni sahihi kwa 100%?

Maajabu yake na wadau wakasapoti.

Katika dunia hii ambayo kuna tapeli aliwauzia watu mnara wa Eiffel si wangemsoma body language na kujua huyu tapeli? Haya huko mbali, kuna mama amemtapeli hadi raisi na ulinzi akagewa na kesi akashindwa hapo body language ilikuaje?

Kama umesomea au unasomea saikolojia mkuu naomba uniambie.
Mbona simple , kwani ni kila mtu ana huwezo wa kuzisoma hizi lugha??

Unahisi kila mtu anashndwa kucheza na hizi lugha??.....
 
Naomba lete picha nne za Harmo Rapa, na Marehemu Dr Remmy na marehemu Kanumba ukiwa unaonesha body languages zao zinaashiria nini.

merengo90

Mbona simple , kwani ni kila mtu ana huwezo wa kuzisoma hizi lugha??

Unahisi kila mtu anashndwa kucheza na hizi lugha??.....
Hebu jibu hili mkuu...
 
Mbona simple , kwani ni kila mtu ana huwezo wa kuzisoma hizi lugha??

Unahisi kila mtu anashndwa kucheza na hizi lugha??.....
Mimi nina uhakika mkuu wewe mtu akiamua kukutapeli anakutapeli pamoja na kusema una kipaji cha kusoma body language.
 
Mimi nina uhakika mkuu wewe mtu akiamua kukutapeli anakutapeli pamoja na kusema una kipaji cha kusoma body language.
Yeah yawezekanaa kwenye kutapeliwa, kutapeliwa ni dhana pana na inamengi sana, ina level kibao
 
cea504786d9e2e9c59a7bf7582bf5575.jpg
Thanks very Much konge .U made my day.
 
Ukion unaongea na mtu then hakuangaliii , anafanya jambo jingine juaa

1. Hayupo interested na unalo zungumza.

2. Amekuzarau.

Kila kitu kinaongeaa mkuuuu.
Exactly Mkuu merengo90 .

Body language inaudhihirisha Ukweli katika mazungumzo zaidi ya kuongea.
 
Back
Top Bottom