Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,330
Nitakupa, atakupa mbele, hujapewa mbele, utapewa nyuma, nitakupa nikikaa vizuri, ngoja isimame nikupe, subiri asimamishe nikupe, hivi nilivyo kaa nita kupaje, utapewa tulia, nikupe mara ngapi, nimempa huku mbele, msimpe huko nyuma, si nimekuambia simamisha hapo mbele, mbona nisha kupa?
Kiswahili kimepanuka na kila kikipanuka tafsiri yake pia hupanuka na wakati mwingine hata kuleta ukakasi.
Kiswahili kimepanuka na kila kikipanuka tafsiri yake pia hupanuka na wakati mwingine hata kuleta ukakasi.