Lugha za mwili unazotakiwa kuziepuka wakati wa usaili wa kazi

Lugha za mwili unazotakiwa kuziepuka wakati wa usaili wa kazi

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
1. Epuka kuegemea ukuta au kupishanisha miguu

2. Epuka kukunja mikono yako kifuani; inaonyesha unajiamini kupita kiasi au dharau

3. Unapoulizwa maswali; daima angalia mbele, usiiname chini

4. Epuka kutafuna kitu chochote mdomoni au kung’ata kucha

5. Kama umekaa usiegemee sana kiti - inaonyesha ishara ya uvivu

6. Ikitokea umesimama, jitahidi unyooke

7. Usiwanyooshee vidole wanaokufanyia usaili

8. Usitikise kichwa kupita kiasi

9. Usiweke mikono yako nyuma wala mfukoni

10. Usionyeshe ishara yoyote mbaya unapomzungumzia mwajiri wako wa zamani
 
1. Epuka kuegemea ukuta au kupishanisha miguu

2. Epuka kukunja mikono yako kifuani; inaonyesha unajiamini kupita kiasi au dharau

3. Unapoulizwa maswali; daima angalia mbele, usiiname chini

4. Epuka kutafuna kitu chochote mdomoni au kung’ata kucha

5. Kama umekaa usiegemee sana kiti - inaonyesha ishara ya uvivu

6. Ikitokea umesimama, jitahidi unyooke

7. Usiwanyooshee vidole wanaokufanyia usaili

8. Usitikise kichwa kupita kiasi

9. Usiweke mikono yako nyuma wala mfukoni

10. Usionyeshe ishara yoyote mbaya unapomzungumzia mwajiri wako wa zamani
hints nzuri bt function zero kama huna anayekujua doh.
kuna mbaba pale tume alinikazia sana ati vyeti haviendani na kazi niliyo omba, nyuma yangu alikuja mdada aliletwa na mtu kizito, hata inteview sizan kama alifanya. Alichofanya alinitoa nje.
 
Back
Top Bottom