Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
WATOTO ZAIDI YA 800 WAJENGEWA GHOROFA SABA ZA KUISHI DSM
Watoto yatima zaidi ya 800 katika Mkoa wa Dar es Salaam wamejengewa ghorofa saba za kuishi ili kuhakikisha kundi hilo la watoto linaishi sehemu nzuri kwa ajili ya malezi yaliyo bora
Ghorofa hizo zimejengwa na Mfanyabishara nchini @lugumisaidi ambapo amekabidhi jengo moja la ghorofa nne eneo la Kinondoni Shamba Jijini Dar es Salaam huku majengo mengine yakitarajiwa kumalizika mwezi wa tatu mwakani.
Lugumi Amesema lengo ni kusaidia na kutatua changamoto kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu huku akijitolea kusomesha watoto zaidi ya 800 kuanzia ngazi ya elimu ya Msingi hadi Chuo Kikuu.
Akizungumza kwa niaba ya walezi wa watoto hao Bi Aisha amesema majengo hayo yatawasaidia katika kuokoa fedha za kodi ya pango ambazo zitatumika kwa ajili ya kutatua vitu vingine.
Watoto yatima zaidi ya 800 katika Mkoa wa Dar es Salaam wamejengewa ghorofa saba za kuishi ili kuhakikisha kundi hilo la watoto linaishi sehemu nzuri kwa ajili ya malezi yaliyo bora
Ghorofa hizo zimejengwa na Mfanyabishara nchini @lugumisaidi ambapo amekabidhi jengo moja la ghorofa nne eneo la Kinondoni Shamba Jijini Dar es Salaam huku majengo mengine yakitarajiwa kumalizika mwezi wa tatu mwakani.
Lugumi Amesema lengo ni kusaidia na kutatua changamoto kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu huku akijitolea kusomesha watoto zaidi ya 800 kuanzia ngazi ya elimu ya Msingi hadi Chuo Kikuu.
Akizungumza kwa niaba ya walezi wa watoto hao Bi Aisha amesema majengo hayo yatawasaidia katika kuokoa fedha za kodi ya pango ambazo zitatumika kwa ajili ya kutatua vitu vingine.