Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

CCM imhoji ndg.Luhaga Mpina kwa maneno yake ya CHUSHO.....

#Siempre JMT🙏
 
Kwahiyo unashauri nini, uozo uendelee ?? Hakuna kumtaja mwenzake? Haujaeleweka hoja yako ni nini. Ingekuwa hivyo unavyofikiria hakuna hakimu hata mmoja angemfunga binadamu hata mmoja.
Katiba mpya itaweka viongozi Bora na serikali itakua loyal Kwa wananchi mana ndiyo waajiri wake.

Hakimu anayehukumu mtu aliyeufanya jambo Kwa Nia njema ni Shetani mkubwa.
Ndio maana mtu anatiwa hatiani Kwa kuangalia Nia yake wakati wa kutenda kosa.

Ndio maana watu wengine hawapendi haya masheria yaliyotungwa na watu waovu.
Wanaofuata sharia la Mwenyezi Mungu.

Shabiby na Ndugai muda mrefu sana walishauri suala la mafuta linadilishwe kanuni zake lakini rushwa Kwa wabunge inalitafuna Taifa. Sio wa upinzani kama Tozo Bweka Wala wa CCM wote ni rushwa TU halafu Makamba anawekwa kama chambo TU kulaumiwa.
 
Huyu ni yule Mpina aliyekuwa wazir wa uvuvi na ktk enzi zile za giza totoro kwa Wakerewe na atleast watu wote waliotegemea uchumi wao kwenye uvuvi na mifugo??🙆

Hivi naye bado anabwabwaj utumbo km huu kweli?🤭🤭
Mara hii tu keshasahau jaman kwel...?? Anyway jpm aliwah kuckika akiuthibitishia umati na taifa kwa ujumla km huyo Mpina ni "kichaa" na ndiy cv ilimpa uwazir,na hajawah kutoka hadharan kukanusha.

Basi Makamba amvumilie tu,maana hatukuwah kuckia lolote km Mirembe hosp walimaliza jukum lao kumhusu😂😂😂😂
 
Kwani 2020 aliupata? Una uhakika gani yaliyofanyika 2020 hayatajirudia 2025?
ndio hata yakifanyika Tena,itakuwa chini ya chama na serikali ambayo anaitukana,kwaiyo hatopewa nafasi ya kugombea huyo msukuma mwenzenu
 
Katika post yako sijaona utetezi wa hoja zaidi ya personal attack.Nikupe faida moja mkuu Kinembe.Katika hotuba ya mwaka mmoja wa mama Samia katibu mkuu CCM komredi Chongolo alitamka bila ya kupepesa macho kuwa ... wajanja walitaka kuingiza nchi gizani ili wauze majenereta" ni dhahiri muhusika ni January
Chongolo nae ni sukuma gang? Kama January hakufanya kosa kwanini rais amerejesha tozo aliyoiondoa January kwa hotuba tu?

Naona Mange nae anajaribu kupotosha akidhani huu ni umbea wa kuchafua hewa wakati ni jinai imetendeka. Kosa linaendana na sheria za nchi na ukiukwaji kanuni kama huna weledi wa hayo mambo kuwa msikilizaji tu.Haisaidii kutukana watu.

Tukutane kaanani
 
Wana chuki na Makamba wa watu kisa mjinga mwenzao kawaaminisha anahusika na kifo cha mungu wao!

Wamejaa ujinga tu ndo mana wanaua vikongwe kwao kwa kuwahisi tu kuwa ni wachawi
Bro jikite kwenye hoja! achana na hizi personal attack...
jitahidi kuwa tofauti na wajinga
 
Kama ww ulivyo na hasira nae, umejaa chuki na masimango
 
Kupanda kwa mafuta sio tatizo la Tanzania peke yake bali nila nchi nyingi duniani. Kunatoka na kuongezeka gafla kwa demand kuanzia mwishoni mwa 2021 na pia vita ya Ukraine.
Kumlaumu January kupanda kwa bei ya mafuta ni chuki, vita ya urais 2030 au uwezo mdogo wa akili!
 
Jibu hoja wewe ya kuondoa tozo acha kupiga miluzi kwenye glasi
 
Hata hivyo anawaza kuondolewa makamba awekwe yeye hiyo ni ndoto.

Sipo na makamba, naweza kusema kawekwa mahali palipojaa ile AS USUAL, mpaka mfagizi ni mwizi.

Huo umeme ushakua kama ndonda ndugu, leo zima kesho gonjwa.

Vile amewekwa hiyo wizara kimkakati akomae, sie watoto wetu wanasota mitaani huko.
 
Angalia hapo chini bei za mafuta Europe mid March. Bei zao ni zaidi ya mara mbili ya bei zetu.
Euro 1 = Tshs 2527
 
Umeongea meeng ila umesahau kusifia.. kauli yenu.. "mama anaupiga mwing"
 
Umeongea meng umesahau "mama anaupiga mwing"..

A. K. A wazee wa kusifia
 
Mpina ni mpumbavu kipindi akiwa waziri kanyanyasa sana watu! Na 2025 jina wanakata ubunge atausikia tu! Angekuwa mungu wao yupo madarakani angesubutu kulopoka hivyo?
 
Hivi gesi imeishiaga wapi wajameni. Kelele zote zile enzi hizo lakini sioni lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…