Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Huu mjadala ulipamba moto
 
uko tanzania kweli
 
Mimi ni CCM lakini naona kabisaa Mpina anataka kujenga hoja bila contents zenye mashiko.

Hizi za kuondoa tozo na kadhalika zipo kwenye uwezo wa yeye Mbunge kupeleka hoja binafsi bungeni....

Mengine aje na evidences
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…