Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.

Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.

Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.

Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.

Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.

Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.

Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
kumbe akiwa nje ya mfumo akili zinakaa sawa
 
Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.
Huyo Mpina si alikuwa waziri wakati wa JPM? Mbona Bajeti ya kununulia ndege, SGR, kuhamia dodoma, bwawa la nyerere haikupitishwa na bunge kabla ya utekelezaji? Hii ya Makamba kupunguza makali ya bei ya mafuta kwa wananchi ndiyo uhujumu uchumi? Mbona hakupiga kelele wakati wa JPM juu ya matumizi ya serekali bila idhini ya bunge?
 
Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.

Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.

Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.

Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.

Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.

Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.

Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
😂😂😂😂😂😂😂 halafu atakuja bwege mmoja wakuitwa The Sunk Cost Fallacy kifua mbele kupinga hoja za mtoa mada na kumtetea kibaraka wake marope
 

Mafuta USA kipimo chao ni gallone ambayo ni sawa na Lita 4 na ushee kwa Tanzania. Hivyo hiyo bei ni ya Lita 4 na ushee so igawe kwa 4 na utagundua Lita1 ni chini ya dollari1.

Hii ya Mh Mpina kutoka kwa jinsi hii ni afya kwa Tanzania kwa vile hatuna upinzani wenye hoja zinazo eleweka kwa sasa hapa nchini. Natamani waongezeke wengi ndani ya CCM wa aina ya Mh Mhanga Mpina.
 
Sukuma gang mtampoteza huyo Mpina kama Jobo,,nauliza majibu rasmi ya serikali ndio hayo anayotoa Makamba,,kama Mpina ana jambo lake alete vinginevyo kutumika kutamponza..
Mbona unarukaruka kama bisi kikaangoni! Mara sukuma gang, mara mpina mtampoteza! Sasa inahusiana nini na uongo wako kuwa kauli ya waziri ni kauli ya Rais?!! Eti majibu rasmi ya serikali ndo hayo ya makamba!, Wakati makamba katangaza kuitoa sh. 100 tarehe 28 siku mbili baadae Rais akampinga hadharani na kuirudisha hiyo sh.100. nani hapo mwenye majibu rasmi ya serikali?! Afu unadanganya hapa kauli ya waziri ni kauli ya Rais!!
 
Huku ni kutishia watu wazima pusi, kumbukeni tume ni ya Mahera
Wasukuma ndio wengi nchi hii na ndio wapiga kura wengi au nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuuuuu?[emoji16][emoji16][emoji16]
 
IT masaki 2015 kwa ajili ya jiwe lenu
Wewe mwenyeji sana wa hizi siasa inaonekana

Tangu Makamba umemjua kwny siasa kafanya jambo gani la maana?

Ukimuweka Makonda na January halafu utazame upande wa mazuri yao tu kwmy uongozi basi Paul kafanya mengi sana kuliko huyu Kijana …January alichofanikiwa ni kuji brand kama mtu smart sana kichwani hakuna kingine
 
Hoja za Mpina zina mantiki
Ila wajinga kama nyinyi ndio mnataka kutibua mjadala..
KIla kitu lazima ukihusishe na marehemu Magufuli!
Kaka tuna kizazi cha ovyo sana, yani hata katika mambo ya msingi wanamuwaza uyo marehemu tu badala ya kutazama hali na uhalisia wa sasa
 
Sukuma gang mtampoteza huyo Mpina kama Jobo,,nauliza majibu rasmi ya serikali ndio hayo anayotoa Makamba,,kama Mpina ana jambo lake alete vinginevyo kutumika kutamponza..

Unamtisha nani wee mbulula

Alichokosea nini hapo km sio kutetea wananchi na nchi yetu kwa ujumla
 
kuna watu wanaishi maisha mazuri kwa kuwaibia maskini
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli haitawaacha salama, walidhani kuongoza ni jambo rahisirahisi kama kujibatiza jina la kigogo2014 huko twita.

Naona akina nanilihii wameikamata nchi. Kumponda rais na serikali sasa kwisha.
 
Hoja za Mpina ni za msingi sana mpunguze ushabiki huku na uchawa wenu.

Makamba ni muhujumu uchumi, uamuzi wake wa kufuata tozo shilingi 100 umeisababishia serikali hasara ya bil 30 kulingana na Mpina, nyie chawa mkiongozwa na Lord denning jibuni hoja hii.
 
Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa amesema Rais Samia alitaka mawaziri wamsaidie katika kujibu hoja za wananchi, hata hivyo jambo hilo halionekani sana kwa sasa, ambapo amesema mawaziri wapo kimya katika kujibu hoja za wananchi.

Mpina amesema wapo mawaziri hawajibu hoja za wananchi au huwa wanajibu kwa hoja nyepesi malalamiko ya raia, hali ambayo ameitaja kuwa sio kumsaidia Rais kama inavyotarajiwa.

Ametoa mfano wa waziri wa Nishati alivyojibu kuhusu ucheleweshwaji wa mradi wa bwawa la Mwl Nyerere ambapo Waziri wa Nishati alianza kulaumu kuwa Wabunge hawakutaka yeye awe waziri badala ya kujibu hoja iliyokuwa mezani.

Waziri ametolea mfano suala la kufuta tozo ya Tsh. 100 katika mafuta bila kufuata utaratibu. Ambapo amesema maamuzi ya waziri kufuta tozo hiyo amekutaja ni sawa na uhujumu wa mapato ya Serikali kwa kuwa fedha ya tozo hiyo ilikuwa katika bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22.

Kwa kushindwa kufuata taratibu za kuondoa tozo, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Nishati amekuwa amefanya kosa la Uhujumu Uchumi. Na ameshindwa kutafuta kukielewa chanzo cha upandaji wa bei za mafuta nchini.

Kufuta tozo ya Tsh. 100 bila kufanya tathmini kumeipotezea Serikali Tsh. Bilioni 30. Hivyo, hakuwa na nia njema, achukuliwe hatua, atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua. Amesema suala la kumchukulia hatua sio jambo la hiari, ni kwa mujibu wa sheria.

Mambo mengine aliyoyataja katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ametaja kuwa Waziri Makamba ameshindwa kujibu kuhusu bei za mafuta na mfumuko wa bei.
Huyu naye; huwezi kila siku ukiamka unamwattack mtu mmoja tu, na haiwezekani hoja zake kila siku zilenge sekta moja tu - hiyo inamaanisha ana chuki tu binafsi na Mhe Makamba na hoja zake zinafia hapa
 
Tatizo ni msukuma, hoja zake zitahusishwa na chuki za kisiasa na masuala ya ukabila, japo Katema nondo haswa.
Kama huku ndo kutema nondo basi nchi hii tumekwisha, isitokee tena Mhutu akatawala hii nchi😁
 
Makamba kosa lake ni kuwa na ukaribu na JK na kuwa mentored na JK kuanzia ile kazi ya Ikulu pale mpaka leo Waziri.... Uwezo wa Makamba kichwani na exposure huwezi kumfananisha na hawa akina Luaga sijui Kalemani sijui Makonda....Dogo ana utulivu na uvumilivu... hawa wengine walionjeshwa mkate basi imekuwa nongwa sasa na wanaamini ile ilikuwa haki yao na wanapaswa kuwepo.....
 
Back
Top Bottom