Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Huku si jioni.Jioni Njema
Hujaweza kufuatilia hoja yangu.
Nimeandika Spika anaweza kushitakiwa mahakamani. Akimpiga jirani yake anaweza kushitakiwa mahakamani.
Ila, kwenye suala la anavyoendesha Bunge, ukimshitaki Spika mahakamani, mahakama itakataa kusikiliza hiyo kesi na kukwambia Bunge ni muhimili unaojitegemea, Spika anavyoendesha Bunge ni suala la Bungeni, Mahakama haiwezi kuhukumu suala hilo kwa kuangalia separation of powers. Pelwka malalamiko yako Bungeni mkayamalize huko.
Usichoelewa kipi hapo?