Luhaga Mpina anaongozwa na chuki na ukabila kuliko uzalendo na ukweli. Ushahidi huu hapa

Luhaga Mpina anaongozwa na chuki na ukabila kuliko uzalendo na ukweli. Ushahidi huu hapa

Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Masitting kabisa wewe
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Zitto Kabwe ni kweli kuwa hujawahi kuona madudu ya rafiki yako Makamba aliyoyafanya akiwa Waziri wa Nishati ?
Kama sio udini na ushikaji wenu kwa nini umtetee January Makamba?
Wakati Watanzania wote wanajua madudu ya Makamba ni makubwa kuliko ya Dotto Biteko.
Ushikaji na udini usikutoe kwenye reli .
 
Ukiishiwa hoja na kuna hoja za kujibu unaweza andika uharo kama huu wa mleta mada..
 
Tatizo mkuu hujasikiliza video kabla ya comments. Mpina ameweka wazi kabisa kuwa kuna ufisadi wizara ya Nishati ndio maana hatujalipwa pesa za CSR, JNHEPP na IPTL. Na hili namuunga mkono kabisa kuwa CCM inanuka ufisadi

Ila cha ajabu anamlaumu Makamba kwa huo ufisadi ilihali waziri ni Biteko. Kwanini Biteko hadai pesa za IPTL ilihali ndio waziri au January kamzuia?

Hapa ndio mzizi wa hoja maana anakiri bado ufisadi upo ila anaogopa kumtaja Biteko? Why?
Huo ufisadi wizara ya Nishati umeanza waziri akiwa nani? Biteko au Makamba?!

- Zile $30 mil kwa ajili ya maintanance waziri alikuwa Makamba.

- Rushwa ya kugawa mitungi ya gas bungeni siku ile hotuba ya bajeti ya wizara ya Nishati ikisomwa, waziri alikuwa Makamba.

Hiyo ni baadhi tu nimekuwekea hapo kukuonesha kwanini Mpina amekomaa na Makamba, sijui kwanini unakuwa mkali Mpina kumtaja Makamba.
 
Hizô tuhuma za mpina uliziona Wakati wa JPM?
Nyakati za Jpm hapakuwa na mambo ya kifisadi?

Hoja za mpina zinaweza kuwa Sahihi kabisa lakini hoja niliyoitoa Mimi ifuatilie utaelewa nazungumzia nini.

Mitaani Watu ndîo huongea hayo. Mimi nawasilisha Kulingana na mitazamo ya watañzania mitaani.

Mfano Mwingine,
Kûna dhana kuwa Rais akiwa muislam nchi udikteta na ukandamizaji WA Haki za binadamu unakuwa mdogo lakini Akiwa Mkristo kûna viashiria vikubwa vya udikteta. Hiyo tenà utasema ni segregation?
Una hoja za kitoto ujue
 
Tuseme ukweli. Je hakuna tatizo kwenye suala la sukari iliyoagizwa bila kulipiwa kodi?. Sasa hivi wananchi wanaolima miwa wameshindwa waipeleke wapi miwa yao. Soko limejaa kutokana na sukari iliyoagizwa bila kulipiwa kodi. Hivi Serikali liko kwa ajili ya wananchi au watu wachache?.
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Kwahiyo kama Makamba na Maharage waliiba na kuharibu waachwe tu Kwa sababu waliiba na wameondoka??

Wewe ni mjinga mmoja
 
Hizô tuhuma za mpina uliziona Wakati wa JPM?
Nyakati za Jpm hapakuwa na mambo ya kifisadi?

Hoja za mpina zinaweza kuwa Sahihi kabisa lakini hoja niliyoitoa Mimi ifuatilie utaelewa nazungumzia nini.

Mitaani Watu ndîo huongea hayo. Mimi nawasilisha Kulingana na mitazamo ya watañzania mitaani.

Mfano Mwingine,
Kûna dhana kuwa Rais akiwa muislam nchi udikteta na ukandamizaji WA Haki za binadamu unakuwa mdogo lakini Akiwa Mkristo kûna viashiria vikubwa vya udikteta. Hiyo tenà utasema ni segregation?
Mjinga mmoja!! Ukandamizaji wa mafisadi??

Na hao unaowasifia ni kwasababu wanakula na wezi!!

Huna akili
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Kwa thread hii moja kwa moja ninakupa title ya MNUFAIKA wa madudu ya Makamba.

Ina maana wewe ulikuwa diaspora kipindi cha giza totoro la umeme kabla Biteko hajapewa kijiti?

Haya mambo anayojitokeza Mpina na kuyafafanua kabla ya kuyapeleka mahakamani, alishahangaika nayo huko huko Bungeni muda mrefu sana, ingia You Tube utayapata.

Tumpe shime Mpina kwa kuthubutu angalau kuonesha nia ya kuchukia ufisadi kwa vitendo kuliko maneno yako ya kufisha moyo ya ukabila.
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Hauko serious na kumfuatilia ufisadi wa rafiki yako January. Tunaleta taarifa za Mpina enzi za January akiwa waziri unazifanya as if zimesemwa Leo,?

Mpina Katoa vielelezo, vyako viko wapi?
 
Kwenye hoja ya sukari wangalau Mpina amesimama sehemu sahihi. Lakini kwenye hii vita yake, siwezi kumtenganisha na vita ya sukuma gang v/s msoga gang. 50/50 kwenye mizani yangu, ana hoja sahihi, lakini iliyo nyuma ya vita vmya makundi.
Lakini si anatetea mali za umma?
 
Umekuja hapa kujipambanua kama wakili wa watu wa mtaani, sasa nakutuma ukawaite hao mabosi wako wa mtaani niwajibu wao, wewe nakuona umejaa porojo tu hapa.

Mpina ametoa hoja zake kwa evidence, wewe na mleta mada kwa ufinyu wa fikra zenu badala ya kuzijibu kwa facts, mnaleta habari ya ukabila, ukanda, chuki, na udini.

Hivi hamjioni mlivyo weupe kichwani?!
Achana na hao akina mama wa UWT
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65

Hakuna ukabila mnataka kupotosha wahuni wahed nyie. Wakabila na wadini tunawafahamu sana.
 
ufisadi wizara ya Nishati umeanza waziri akiwa nani? Biteko au Makamba?!
Ufisadi upi huo? Alichosema Mpina ni kuna pesa tunapaswa tudai ila hatujadai sababu ya hongo, sasa nachojua waziri ni Biteko je naye hajadai pesa za CSR na IPTL sababu kahongwa pia? Kama ni hapana kwanini bado hajazidai, na kama hajazidai why Mpina hajaelekeza lawama huko?
Rushwa ya kugawa mitungi ya gas bungeni siku ile hotuba ya bajeti ya wizara ya Nishati ikisomwa, waziri alikuwa Makamba.
Mbona Mpina hajaongelea hii kwenye video? Kagusia tu IPTL, Bwawa la Nyerere na pesa za CSR!! Mfano pesa za CSR za mwaka 2023 je Biteko amezidai? Kama hajazidai why lawama iwe kwa Makamba?

Mimi nataka kujua why Biteko haguswi
 
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.

Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.

Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?

2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?

3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?

Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.

Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24


View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65


Jibuni hoja zake badała ya kumtia ila asokuwa nayo.
 
Back
Top Bottom