Kuna shida gani ukikopa hizo hela? Mbona huulizi matumizi ya mikopo?
Nchi zote Zenye maendeleo Zina madeni makubwa sana
Pili pikipiko na Mali zingine za chama zimenunuliwa Kwa hela za chama so Wacha propaganda za kijinga.
Samia Scholarship ni program ya bodi ya mikopo,inaonesha huelewi unachoongea.
Kuna Serikali imekusanya hela nyingi Toka uhuru kuzidi ya Samia? Na hakuna mwaka TRA imewahi kusanya chini ya asilimia 97%
Ufisadi ambao wewe unaujua na kuwajua ilitakiwa kuwaumbua na kuutaja ,kama umeshindwa manake hakuna udhibiti wa Serikali ni mkubwa.
Mbona Nchi hii ni Kati ya Nchi 10 Zenye maendeleo makubwa Afrika? Unaswmaje haijafika popote? Huoni unakuwa mjinga?
View attachment 3217948