Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Ujinga ni MZIGO MKUBWA sana .Sasa shida Iko wapi? Amewaelezea kwamba na Uchumi umepata?
Kwani amewaambia kuna shida gani ,mbona Kuna Hawa wenye madeni makubwa umeona ni maskini? 👇👇View attachment 3217925
Hizo nchi ulizotaja zinafanana hata robo na hiyo vegetable country yako? nyie deni linapanda mbona nchi ipo vile vile ?