ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Loosers watupu ππKule Cyprian musiba ,pale Lisu na hapa Luhaga Mpina!!
Naona the state wanachanga karata wakiindaaa Dola kuchukuliwa na na upinzani pole pole!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loosers watupu ππKule Cyprian musiba ,pale Lisu na hapa Luhaga Mpina!!
Naona the state wanachanga karata wakiindaaa Dola kuchukuliwa na na upinzani pole pole!!!!
Sawa na Ongezeko la Trillion 32.4 .
View: https://www.youtube.com/live/rwIdf9x54HE?si=7DqEJdRObXwam_J4
Huu ni ungese wa kiwango cha SGR.Inakopwa trillion 10, visiwani wanachukua trillion 6 Tangagiza inachukua trillion 4 baadae deni lote linalipwa na Tangagiza
kulipa hayo madeniKazi gani?
Kama 10 trillion inakopwa na JMT halafu nchi ya Zanzibar inachota 6 trillion mwisho Tanganyika inalipa zote.Loosers watupu ππ
Wambie Lumumba wakuweke afutatu ununue Bando.Mtoa mada umeshindwa kujibu hoja zangu ππ
Muwe mnadanganywa mbumbumbu wenzenu
Kupenda kwetu amani, wanatuona mazumbukuku kabisa, hii nchi wanasiasa wameiharibu na kuitafuna mnoo kwa kweli, kwa kigezo cha kudumisha amanini kwa ajili ya kununulia ma vieit na kujaziana posho mifukoni tu.
Siku mtanzania akisema liwalo na liwe, ndio watashika adabuKwao ina impact wanagawana tu
π€£π€£π€£π€£Mgombea uRais kupitia Chadema πΌπ
Marekani hata sasa umeona Trump na Elon wanahoji mikopo mikubwa hiyo inafanya nini? Sasa wamejizatiti kupunguza matumizi ya serikali. Serikali yenyewe imeamua kupambana kupunguza matumizi.Kuna shida gani ukikopa hizo hela? Mbona huulizi matumizi ya mikopo?
Nchi zote Zenye maendeleo Zina madeni makubwa sana
Pili pikipiko na Mali zingine za chama zimenunuliwa Kwa hela za chama so Wacha propaganda za kijinga.
Samia Scholarship ni program ya bodi ya mikopo,inaonesha huelewi unachoongea.
Kuna Serikali imekusanya hela nyingi Toka uhuru kuzidi ya Samia? Na hakuna mwaka TRA imewahi kusanya chini ya asilimia 97%
Ufisadi ambao wewe unaujua na kuwajua ilitakiwa kuwaumbua na kuutaja ,kama umeshindwa manake hakuna udhibiti wa Serikali ni mkubwa.
Mbona Nchi hii ni Kati ya Nchi 10 Zenye maendeleo makubwa Afrika? Unaswmaje haijafika popote? Huoni unakuwa mjinga?View attachment 3217948
Haliwezi kukujibu hilo haterGharama za miradi hii yote zililipwa kwa 100% au mama anakopa ili kukamilisha miradi mikubwa aliyoianzisha hayati Magufuli?
Shida ipo kubwa sana kama wewe huoni basi unatatizo kubwa kuliko kupitiliza.Sasa shida Iko wapi? Amewaelezea kwamba na Uchumi umepata?
Kwani amewaambia kuna shida gani ,mbona Kuna Hawa wenye madeni makubwa umeona ni maskini? ππView attachment 3217925
Mada ni Tanzania sio USA.Marekani hata sasa umeona Trump na Elon wanahoji mikopo mikubwa hiyo inafanya nini? Sasa wamejizatiti kupunguza matumizi ya serikali. Serikali yenyewe imeamua kupambana kupunguza matumizi.
Sisi mikopo inaenda kuweka matangazo ya mama anaupiga mwingi nchi nzima, pikipiki nchi nzima, baskeli nchi nzima, legal aid nchi nzima, kuwapa hela kina Mwamposa na kina rais wa manabii nchi nzima, hakuna kitu cha maendeleo.
Ona Sasa sijui unaongea nini.Shida Iko wapi?Shida ipo kubwa sana kama wewe huoni basi unatatizo kubwa kuliko kupitiliza.
Mama Samia anataka kutawala Jamhuri ya Muungano huku akitumia rasilimali za Tanganyika kujenga Zanzibar.
Hili ni tatizo kubwa sana tena.Ikiwa wewe ni Mtanganyika unadhingilia huu ujinga ni dhahiri uwezo wako wa kutafakari na kuchanganua mambo upo chini ya viwango vingi.Yamkini umebakiza akili za kukusaidia kuvuka barabara.
Huyu Rais imekuwa ni rahisi sana kutapanya rasilimali za Tanganyika huku rasilimali za Zanzibar zikilindwa kwa viwango vyote.Mfano mzuri ni Bandari za Tanganyika kuuzwa huko Dubai;Uwanja wa Ndege KIA...
Mwl Nyerere alituachia majanga makubwa kuputia aina ya muungano ambao haupo popote Dunia.Utekelezaji wake ni upuuzi mtupu.
Huna hoja lazima ukimbie Mimi sio nyumbuWambie Lumumba wakuweke afutatu ununue Bando.
Jipige pige kifua kwa ufahari wa uzombi wakoHuyu kuna Watu Wanamlipa...
Na analindwa.
πππππ
Mnaofanya hivi endeleeni.