Kosa la Mpina ni lipi hapo mkuu?
Miaka 4 unakopa Trilioni 33plus.
Akipewa mingine 5, deni litakua Trilioni 150.
Kizazi kijacho kitatushangaa sana tuliongozwaje na watu wa namna hii?
Mikopo inaenda kwenye pikipiki nchi nzima, samia legal aid(unajiuliza rais tena unatoa msaada wa kisheria, si ubadili sheria ama uboreshe sheria tu?)
Hiyo mikopo ndio inaenda kwenye mara samia scholarship, sasa bodi ya mikopo ipo ya nini? Inaenda kugharamia mamilioni wanayopewa kina Mwamposa(mwamposa alipaswa kua jela mwaka 2020 aliua watu Moshi na bado yuko uraiani)
Serikali haitaki kusimamia ukusanyaji kodi, inaona ikope kuliko kuhimiza kulipa kodi.
Unajiuliza miaka 5 ya Samia hakuna ufisadi mkubwa mkubwa Tanzania, watanzania wote wameokoka, mbona hakuna fisadi hata mmoja alieshitakiwa ama mafisadi wote waliokoka kipindi hiki cha Samia?
Hii nchi chini ya vegetables haiwezi kwenda mahala popote.