Luhaga Mpina: Deni la Serikali lapaa kutoka Trillion 62.4 mwaka 2021, Hadi kufikia Trillion 96.9 mwaka 2024 !!

Luhaga Mpina: Deni la Serikali lapaa kutoka Trillion 62.4 mwaka 2021, Hadi kufikia Trillion 96.9 mwaka 2024 !!


Sasa shida Iko wapi? Amewaelezea kwamba na Uchumi umepata?

Kwani amewaambia kuna shida gani ,mbona Kuna Hawa wenye madeni makubwa umeona ni maskini? 👇👇
Screenshot_20241126-165919.jpg
 
Hivi ela za kununua magoli na zile 700ml za taifa stars zinatokaga wapi,? any way si wamilizie izo 4 ili iwe 100 wagawane vizuri keki ya taifa
 
Kosa la Mpina ni lipi hapo mkuu?

Miaka 4 unakopa Trilioni 33plus.

Akipewa mingine 5, deni litakua Trilioni 150.

Kizazi kijacho kitatushangaa sana tuliongozwaje na watu wa namna hii?

Mikopo inaenda kwenye pikipiki nchi nzima, samia legal aid(unajiuliza rais tena unatoa msaada wa kisheria, si ubadili sheria ama uboreshe sheria tu?)

Hiyo mikopo ndio inaenda kwenye mara samia scholarship, sasa bodi ya mikopo ipo ya nini? Inaenda kugharamia mamilioni wanayopewa kina Mwamposa(mwamposa alipaswa kua jela mwaka 2020 aliua watu Moshi na bado yuko uraiani)

Serikali haitaki kusimamia ukusanyaji kodi, inaona ikope kuliko kuhimiza kulipa kodi.

Unajiuliza miaka 5 ya Samia hakuna ufisadi mkubwa mkubwa Tanzania, watanzania wote wameokoka, mbona hakuna fisadi hata mmoja alieshitakiwa ama mafisadi wote waliokoka kipindi hiki cha Samia?

Hii nchi chini ya vegetables haiwezi kwenda mahala popote.
Tume za kuchunguza ufisadi zinaundwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya pazia

Commission of inquiries are for public interest not personal or a group of people
 
Kosa la Mpina ni lipi hapo mkuu?

Miaka 4 unakopa Trilioni 33plus.

Akipewa mingine 5, deni litakua Trilioni 150.

Kizazi kijacho kitatushangaa sana tuliongozwaje na watu wa namna hii?

Mikopo inaenda kwenye pikipiki nchi nzima, samia legal aid(unajiuliza rais tena unatoa msaada wa kisheria, si ubadili sheria ama uboreshe sheria tu?)

Hiyo mikopo ndio inaenda kwenye mara samia scholarship, sasa bodi ya mikopo ipo ya nini? Inaenda kugharamia mamilioni wanayopewa kina Mwamposa(mwamposa alipaswa kua jela mwaka 2020 aliua watu Moshi na bado yuko uraiani)

Serikali haitaki kusimamia ukusanyaji kodi, inaona ikope kuliko kuhimiza kulipa kodi.

Unajiuliza miaka 5 ya Samia hakuna ufisadi mkubwa mkubwa Tanzania, watanzania wote wameokoka, mbona hakuna fisadi hata mmoja alieshitakiwa ama mafisadi wote waliokoka kipindi hiki cha Samia?

Hii nchi chini ya vegetables haiwezi kwenda mahala popote.
Kuna shida gani ukikopa hizo hela? Mbona huulizi matumizi ya mikopo?

Nchi zote Zenye maendeleo Zina madeni makubwa sana

Pili pikipiko na Mali zingine za chama zimenunuliwa Kwa hela za chama so Wacha propaganda za kijinga.

Samia Scholarship ni program ya bodi ya mikopo,inaonesha huelewi unachoongea.

Kuna Serikali imekusanya hela nyingi Toka uhuru kuzidi ya Samia? Na hakuna mwaka TRA imewahi kusanya chini ya asilimia 97%

Ufisadi ambao wewe unaujua na kuwajua ilitakiwa kuwaumbua na kuutaja ,kama umeshindwa manake hakuna udhibiti wa Serikali ni mkubwa.

Mbona Nchi hii ni Kati ya Nchi 10 Zenye maendeleo makubwa Afrika? Unaswmaje haijafika popote? Huoni unakuwa mjinga?
Screenshot_20241126-165919.jpg
 
Ndiyo maana tungekuwa taifa la watu wanaojitambua huyu mama hakupaswa kupigiwa chapuo la kurudi ikulu hata hao Ccm wamefanya upumbavu wa kiwango cha juu sana kumpitisha kwa mbaembwe.

Na akiwa rais awamu inayokuja tujue deni litapaa zaidi kwasababu hatakuwa na hofu ya kuupoteza urais maana ni ngwe yake ya mwisho. Jeshi na usalama wa taifa sijui wanalitakia nini hili taifa aise dah!!
 
This Mwanza Cowboy is still burning an effigy against The Boss Lady 😂😂😂​
 
Back
Top Bottom