Luhaga Mpina katumwa na nani?

Luhaga Mpina katumwa na nani?

Kabla hujatuhumu jiulize kwanini sasa yasemwe hayo!!?

Kwanini yametolewa matamko fulani kuhusu hayo yanayoleta uwalakini!!?

Katumwa na na nani!!?hujui Raise ni mali ya jamuhuri!!?

Haya mambo ya kimfumo tuwaachie wenyewe tusubiri ripoti TU ya uchunguzi kama wataridhia uchunguzi ufanyike!!
Kama raisi ni mali ya Jamuhuri kwanini alipoumwa watu wakasanuka na hao kina mpina wakaanza kututisha?

Rais ni mali ya Jamuhuri? Ilikuwaje Jiwe akatuficha kuugua kwa Mkapa?
 
Sasa Luhaga Kakosa Nini??? Kasema hela zimetoroshwa na zimeibwa kwanini msijibu hoja?? Kwamba hela hizi hapa hazijaibiwa mnamshambulia binafsi yaani nchi ina watu wajinga sana
MIAKA 7000 HAITASOGEA mbele nyie wanafiki ndio mnaumiza nchi hiyo.

Barabara zimezidiwa mpaka sasa unaweza kutumia saa 10 kutoka Dodoma mpaka Dar kim 425 halafu mtu mpuuzi anasema nchi iko vizuri.Acheni ujinga nyie.

Kama Mpina anasema Uongo kuna shida gani kumwambia hizo hela hazijaibiwa hizi hapa na zile zingine ulizosema hazijaibiwa hizi hapa.Mjue hizo hela ni zetu sio zenu ni wote tunalipa kodi tunaumia kuona hali mbaya njia hazipitiki halafu unasikia hela zimetoroshwa.

Halafu mtu mwingine kama wewe unasema ohh Mpina mbaya...Hovyo kabisa
.
Watanzania wengi ni wajinga , tena wajinga kuliko wote ni vijana , wana elimu lakini logic zao ni kama za mtoto wa shake ya msingi, wako na very poor knowledge.

Niko Dar kwa week moja, kila barabara za mitaani zimejaa madimbwi ya maji na mashimo , hakuna hata radha ya kutoka nje kutembea, utafikiri Dar iko vitami imejaa mahandaki ya maji, lakini vijana wamejazwa jamii forums kusifia Nchi iko vizuri, Raisi anafanya vizuri, just kwa ujira mdogo wanalipwa kusifia ujinga , hii nchi umti wake na maendeleo hayaendani, kila mahali pako hovyo Tanzania, mtu anauliza na kuitetea Tanzania ana kuwa mbaya.

Tuna jamii ya hovyo ambayo sijawahi ona duniani, jamii ambayo tuwe masikini wao wako saw tu, uvivu wa mawazo na matendo umekisili, ndio maana mpina wana mshangaa, maana ana wauliza vitu ambayo CAG yeye mwenyewe kavitanbua kuwa hapa kuna makosa, Mpina Hatoi vitu kichwani ana pitia hotiba za viongozi wale wale wa ccm na kuuliza hili ukisema hivi jana na Leo umesema hivi kwa nini?
 
Sasa Luhaga Kakosa Nini??? Kasema hela zimetoroshwa na zimeibwa kwanini msijibu hoja?? Kwamba hela hizi hapa hazijaibiwa mnamshambulia binafsi yaani nchi ina watu wajinga sana
MIAKA 7000 HAITASOGEA mbele nyie wanafiki ndio mnaumiza nchi hiyo.

Barabara zimezidiwa mpaka sasa unaweza kutumia saa 10 kutoka Dodoma mpaka Dar kim 425 halafu mtu mpuuzi anasema nchi iko vizuri.Acheni ujinga nyie.

Kama Mpina anasema Uongo kuna shida gani kumwambia hizo hela hazijaibiwa hizi hapa na zile zingine ulizosema hazijaibiwa hizi hapa.Mjue hizo hela ni zetu sio zenu ni wote tunalipa kodi tunaumia kuona hali mbaya njia hazipitiki halafu unasikia hela zimetoroshwa.

Halafu mtu mwingine kama wewe unasema ohh Mpina mbaya...Hovyo kabisa
.
Nchi inakosa maendeleo yanayo stahili kwasababu ya wanafiki wajinga kama hao, wanajua sana kinacho maanishwa lakini wanajitoa akili kwasababu ya njaa naubinafsi.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Circle yao ina wafuatao;
Fuskoa Ngope, Ndakoma, Kotebi (ingawa huyu wanamvuta lakini hashirikiani), Rosi, Igandu, Kasende, DIVICO na wengineo
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Ndo shida kubwa mliyonayo watu kama nyie..!!! Mngejibu hoja kwa hoja wala msingetupa mashaka juu ya akili zenu..!!
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Katumwa na Mimi Wala msimguse.
 
Bosi mbona hilo linajulikana kabisa kuwa kuna watu waliumia. Kinachotutofautisha na ninyi wauaji wa Dkt Magufuli ni kimoja tu. Mnatetea waharifu na kuwafanya kuwa walionewa, wakti huo huo sasa hivi wizi upo kila sehemu na wananchi wanyonge wanalalamika na ninyi mashabidi ila hamtaki kusema ukweli. Mfano huyo Shamte alikuwa mharifu na alikuwa na makosa tena ya wazi. Au hata ukisema wakwepa kodi wengi yaani ilikuwa kazi. Kuhusu kuporwa hela ni kuwa maduka ya kubadilisha fedha yalitumima kutakatisha hela na wamiliki walifanya hivyo na walijua na ndiyo maana kulikuwa na mfumuko wa bei usiokuwa na kikomo, hivyo uamuzi ukawa kuweka sheria mpya sema ndiyo hivyo wahuni wakalichukua zoezi na kufanya uhalifu ila rais na yeye ha walimdanganya. Mfano jiulize kwa nini Dkt Samia sasa hana mpango wa kushughulika na wizi wa serikalini? Anaogopa, akiwashughulikia tu watasema anaonea na ndivyo tulivyo watanzania, tunalakia mafisadi ila wakikamatwa tunaenda kuwaombea makanisani na misikitini wasitiwe hatiani, kitu ambacho hata kama ningekuwa mimi Dkt Samia ningeacha waendelee kuiba tu mradi mi naendelea na urais wangu
Basi tulia usitupigie kelele sasa
Yalishapita sasa hivi tuangalie mbele

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo watz wengi wanaangalia hapa... Hawaangalii tunawaweka vizazi vyetu sehemu gani. Uchawa umezidi mpk wamekuwa wapumbavu wa kufikiria hatma ya mbele.
Hata wewe ukilamba asali huwez kuwaza mbele maana unalewa kabsaa
Kwa hiyo jitahid ulambe asali kama sisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wengi ni wajinga , tena wajinga kuliko wote ni vijana , wana elimu lakini logic zao ni kama za mtoto wa shake ya msingi, wako na very poor knowledge.

Niko Dar kwa week moja, kila barabara za mitaani zimejaa madimbwi ya maji na mashimo , hakuna hata radha ya kutoka nje kutembea, utafikiri Dar iko vitami imejaa mahandaki ya maji, lakini vijana wamejazwa jamii forums kusifia Nchi iko vizuri, Raisi anafanya vizuri, just kwa ujira mdogo wanalipwa kusifia ujinga , hii nchi umti wake na maendeleo hayaendani, kila mahali pako hovyo Tanzania, mtu anauliza na kuitetea Tanzania ana kuwa mbaya.

Tuna jamii ya hovyo ambayo sijawahi ona duniani, jamii ambayo tuwe masikini wao wako saw tu, uvivu wa mawazo na matendo umekisili, ndio maana mpina wana mshangaa, maana ana wauliza vitu ambayo CAG yeye mwenyewe kavitanbua kuwa hapa kuna makosa, Mpina Hatoi vitu kichwani ana pitia hotiba za viongozi wale wale wa ccm na kuuliza hili ukisema hivi jana na Leo umesema hivi kwa nini?
Acha vijana walambe asali
Kipind kile walibaniwa sana
Hata wewe ukilamba asali huwez kupiga kelele hizi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Basi tulia usitupigie kelele sasa
Yalishapita sasa hivi tuangalie mbele

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkubwa mbarika sina cha kunifanya nitulie zaidi ya wale ambao kila kukicha kazi yao ni kumdhihaki Dkt Magufuli ambaye tetesi zinasema aliuawa. Sharti wauaji wakijua kuwa inajulikana and they need to have sympathy kwa wafiwa ambao ni watanzania basi watajitahidi kumjengea taswira ya heshima. Ni sam same kwa Mwl Nyerere kila anayembeza basically huwa hadumu na that person huwa hang’ari kabisa, lasivyo uwe na akili kama Dkt Kikwete, yaani uvumilivu wa kula na kipofu ila kizazi cha watawala wa leo jambo linaweza kuwa siri eti mpaka wazee kama akina marope wanasema eti “wazee tulisema sasa basi, wazuri hawafi” ni kweli hiyo ni hekima???? So wao ndiyo watulie na siyo sisi watanzania tunaotaka haki itendeke maana kuua rais aliyepo madarakani ni uhaini inapaswa ikomeshwe na ikiachwa tutegemee many presidents to come watakufa kwa njia hii hii ambayo Dkt Magufuli aliuawa, rejea historia ya utawala ya Roma au ule mpango wa Nigerian’s Generals
 
Mkubwa mbarika sina cha kunifanya nitulie zaidi ya wale ambao kila kukicha kazi yao ni kumdhihaki Dkt Magufuli ambaye tetesi zinasema aliuawa. Sharti wauaji wakijua kuwa inajulikana and they need to have sympathy kwa wafiwa ambao ni watanzania basi watajitahidi kumjengea taswira ya heshima. Ni sam same kwa Mwl Nyerere kila anayembeza basically huwa hadumu na that person huwa hang’ari kabisa, lasivyo uwe na akili kama Dkt Kikwete, yaani uvumilivu wa kula na kipofu ila kizazi cha watawala wa leo jambo linaweza kuwa siri eti mpaka wazee kama akina marope wanasema eti “wazee tulisema sasa basi, wazuri hawafi” ni kweli hiyo ni hekima???? So wao ndiyo watulie na siyo sisi watanzania tunaotaka haki itendeke maana kuua rais aliyepo madarakani ni uhaini inapaswa ikomeshwe na ikiachwa tutegemee many presidents to come watakufa kwa njia hii hii ambayo Dkt Magufuli aliuawa, rejea historia ya utawala ya Roma au ule mpango wa Nigerian’s Generals
Hivi mtu ambaye ni psycopath , mwenye endemic heart disorder hadi kuwekewa pacemaker na possibly ana damu chafu, unategemea aishi miaka mingapi mkuu!
 
Hivi mtu ambaye ni psycopath , mwenye endemic heart disorder hadi kuwekewa pacemaker na possibly ana damu chafu, unategemea aishi miska mingapi mkuu!
Dah yaani unazidi kutuumiza yaani hasira hasira, hatujatai kufa ila nyie mlimuwahisha kwa kumuua ndiyo maana tunasema mulimuua kabla ya muda wake. Mgekaa kimya wala tusingejua kuwa mlimuua ila kwa sasa kila kukocha mnajisifia jinsi mlivyomuua
 
Dah yaani unazidi kutuumiza yaani hasira hasira, hatujatai kufa ila nyie mlimuwahisha kwa kumuua ndiyo maana tunasema mulimuua kabla ya muda wake. Mgekaa kimya wala tusingejua kuwa mlimuua ila kwa sasa kila kukocha mnajisifia jinsi mlivyomuua
Unasema ati tulimuua, mimi na nani?
Pengine na wewe uniambie utaishi mpaka lini?
 
Hivi mtu ambaye ni psycopath , mwenye endemic heart disorder hadi kuwekewa pacemaker na possibly ana damu chafu, unategemea aishi miska mingapi mkuu!
Hayo ndiyo tume huru itabaini. Nategemea wewe huna ushahidi wa lolote unalosema. Kama una ushahidi kuwa kifo cha JPM sababu zake ni kama ulivyotaja hapo juu tuwekee huo ushahidi hapa. Tuwekee ushahidi pia kuwa JPM alikuwa psychopath.
 
Hayo ndiyo tume huru itabaini. Nategemea wewe huna ushahidi wa lolote unalosema. Kama una ushahidi kuwa kifo cha JPM sababu zake ni kama ulivyotaja hapo juu tuwekee huo ushahidi hapa. Tuwekee ushahidi pia kuwa JPM alikuwa psychopath.
Psycopath ni mtu wa hasira hasira, kisirani.
Aliwahi kumwambia yule mchaga pale Kimara aliyelalamikia vyoo vya stendi za basi, kuwa asije na mavi yake mjini, amalizie nyumbani.
Huyo ndo Rsis wenu.
 
Back
Top Bottom