Pre GE2025 Luhaga Mpina kuendelea kudumu CCM au atafanyiwa figisu?

Pre GE2025 Luhaga Mpina kuendelea kudumu CCM au atafanyiwa figisu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.

Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.

Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
Screenshot_20240615-064845.jpg
 
Idara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.

Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.

Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.

Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Acha ufitini,,wewe ndo inamchukia labda
 
Idara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.

Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.

Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.

Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Chadema ni mabingwa kuchukua silaha chakavu Ili kuzitumia kujaribu kuiumiza CCM.
 
Idara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.

Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.

Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.

Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Dah kuna wakati unaweza ukawa unamchafua mtu mpaka wewe mwenyewe unajishtukia aise.

Mara kanunua kombat za kila rangi za Chadema mara anachukiwa jimboni yaani ni full kutoeleweka.

Ccm inabidi wakati mwingine mkubali kukosolewa na kukosoa ni jambo la kawaida kwasababu kuna mapungufu mengi katika uongozi wenu.

Mimi nadhani ingependeza zaidi ungejikita kwenye kujibu hoja za Mpina na si kumsagia kunguni ndani ya chama.

Sidhani kama kutetea rasilimali za nchi zisitumike ovyo hasa kwa kuishia mifukoni mwa wajanja wachache. Mpina kwa sasa ni kama mbunge wa taifa maana ni mbunge pekee aliyebaki anayetetea angalau maslahi ya taifa.
 
Binafsi luhaga siwezi kumuelewa,naona kama mtu aliye nachuki baada ya kukosa uwaziri na kuhisi kuwa kiti chake cha ubunge kiko matatani,alichoma nyavu zangu huyu bwana huku akiomba rushwa ya sh 10M kwa kila mvuvi.


Wema na uzuri wake uko wapi,au laana inamuandama
 
Idara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.

Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.

Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.

Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
nilikuwa sijamjua aliyeposti kama ni yule sehemu za siri! basi sijibu
 
Binafsi luhaga siwezi kumuelewa,naona kama mtu aliye nachuki baada ya kukosa uwaziri na kuhisi kuwa kiti chake cha ubunge kiko matatani,alichoma nyavu zangu huyu bwana huku akiomba rushwa ya sh 10M kwa kila mvuvi.


Wema na uzuri wake uko wapi,au laana inamuandama
Chawa kazi yenu ni kusifia pekee
 
Binafsi luhaga siwezi kumuelewa,naona kama mtu aliye nachuki baada ya kukosa uwaziri na kuhisi kuwa kiti chake cha ubunge kiko matatani,alichoma nyavu zangu huyu bwana huku akiomba rushwa ya sh 10M kwa kila mvuvi.


Wema na uzuri wake uko wapi,au laana inamuandama
Kweli kabisa
 
Idara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.

Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.

Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.

Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Malizaneni hukohuko nyie machawa wao sukuma ngang a.k.a wazee wa legacy 😂😂😂😆
 
Back
Top Bottom