Mboma serikali haimunganyi?Mpina ni tapeli tu, hata morogoro ametapeli ekari 1000 za wakulima, kama anajifanya anapenda wazalendo na masikini, awarudishie mashamba yao, matrekta yake yanalima mpaka kwenye milango ya wanavijiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboma serikali haimunganyi?Mpina ni tapeli tu, hata morogoro ametapeli ekari 1000 za wakulima, kama anajifanya anapenda wazalendo na masikini, awarudishie mashamba yao, matrekta yake yanalima mpaka kwenye milango ya wanavijiji
🙄🙄🤭Chiembe ni moja ya taka taka za jamiiii forum ....... ni moja ya wapumbavu wa mtandao huuu ...
Luhaga anaendelea kuwanyoosha majizi ya ccm,sasa wanahaha tu chama cha mambuziIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
mbona bashe naye anazivaa sanaIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Nimeelewa Kuwa ukisema kukemea mabaya na ufisadi wa maccm ndo unachukiwaIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Mpina ametusaidia kujua kwambaIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Kwa nini alichoma nyavu za wavuvi?Binafsi luhaga siwezi kumuelewa,naona kama mtu aliye nachuki baada ya kukosa uwaziri na kuhisi kuwa kiti chake cha ubunge kiko matatani,alichoma nyavu zangu huyu bwana huku akiomba rushwa ya sh 10M kwa kila mvuvi.
Wema na uzuri wake uko wapi,au laana inamuandama
Si dhani kama kanda ya Ziwa ni wajinga kiasi hichoIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
RubbishIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Majungu.comIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Kwani vazi hilo linazalishwa kwenye kiwanda cha CDM.Idara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Sawa kwa hiyo alichoma hata zisizostahili kuchomwa?Roho mbaya na chuki, pia alinyimwa cha juu
Wewe ndo unachukiwa na kila mwana JF atakayesoma hili bandiko lakoIdara ya uhasibu chadema imekoshwa na kasi ya Luhaga Mpina kuagiza kombati za kila rangi kutoka chadema. Jambo hilo linawashangaza, na baadhi wanajiuliza ni mapenzi yake kwa nguo hizo, au kuna jambo nyuma ya pazia.
Hali ya kisiasa ya Luhaga Mpina jimboni kwake ni mbaya sana, kila anakopita watu wanamsonya, na wanajiapiza kumsubiri mwaka 2025 wamponde ponde.
Jitihada za Mpina kujijenga kisiasa kwa kushambulia watu zinagonga mwamba kwa kuwa alikuwa moja ya viongozi makatili na madikteta waliotesa wavuvi na wafugaji wa kanda ya ziwa kwa mkono wake wa uliojaa damu.
Baadhi ya watu wanasema Mpina ni kiongozi anayechukiwa zaidi kanda ya ziwa.
View attachment 3017689
Mbona hamkosema mapema,,kwanini museme baada ya kumwaga ungaBinafsi luhaga siwezi kumuelewa,naona kama mtu aliye nachuki baada ya kukosa uwaziri na kuhisi kuwa kiti chake cha ubunge kiko matatani,alichoma nyavu zangu huyu bwana huku akiomba rushwa ya sh 10M kwa kila mvuvi.
Wema na uzuri wake uko wapi,au laana inamuandama
Ni kweli kabisa mti wenye matunda ndio upigwao mawe !Mti wenye maembe ndio unaotupiwa mawe. Mpina ni jembe na unalijua hilo. Mbona humsemi Mb. Kasalali wa Sumve au Mb. Kiswaga wa Magu? Mb. Mpina unamjua vizuri sana na 2025 atapitishwa na CCM kuendelea kuliongoza vyema Jimbo la Kisesa!
Ukiwa mtu safi unaitetea Nchi utachukiwa haraka sana na hayo MAJITU 🙄Nimeelewa Kuwa ukisema kukemea mabaya na ufisadi wa maccm ndo unachukiwa
Ukiwa mtu safi wa dhamira unaenda chadema kwa kuwe huwezi kaa ccm