Luhaga Mpina: Kuna watendaji wa Serikali katika ngazi za maamuzi ambao sio raia wa Tanzania

Luhaga Mpina: Kuna watendaji wa Serikali katika ngazi za maamuzi ambao sio raia wa Tanzania

kwanini tanganyika iongozwe na mzanzibar mwanamke?
ni sawa na kuwapa mbwa chakula cha watoto wako
Tanganyika na Zanzibar ziliungana ndio ikapatikana jina Tanzania !
Yeyote anaweza kuwa Rais kutoka upande wowote ule !!
Labda mpaka Muungano uvunjike !

Na Muungano ni ngumu kuvunjika ila unaweza ukaboreshwa kama ilivyo pendekezwa na Rasimu ya Katiba ya Mzee Warioba !

Serikali Tatu 😳 !
Hapo vipi ???!!
 
Mpina ni wa kupigwa pini haraka vinginevyo akichekewa ataleta shida kwenye amani ya nchi hii. Vyombo vinavyohusika vimshughulikie.
Wapinzani mbona huaga wanafanyiwa haya haya, wafanyaji wale nao vipi wapigwe PINI? Again, shutuma za Mpina sio mpya, ni unafiki wa Kitanzania tu wa kujifanya hatujui wakati hadi CDF alitamka jambo hili hadharani mbele ya rais.
 
Mpina ni wa kupigwa pini haraka vinginevyo akichekewa ataleta shida kwenye amani ya nchi hii. Vyombo vinavyohusika vimshughulikie.
Mtu anaewaambia Kuna tatizo,apigwe pin,acha hizo wewe,binaadamu hatakiwi kuwa Kama wewe ulivyo
 
Back
Top Bottom