Tangu hukumu ya Mpina itolewe pale Bungeni, vijiwe na maeneo yote yenye mikusanyiko wanamlilia Mpina na wamewachukia kabisa wanaojiita Wabunge.
Zaidi ya 98% wanaona Mpina hakutendewa haki.
Zaidi sana wameichukia serikali hii kwa kiwango kisichoelezeka, hasa kwa kosa la kuwakumbatia MAFISADI.
Hukumu ya Mpina imeweka mambo wazi kabisa kwamba kwa serikali hii, MAFISADI wanalindwa na kutetewa na mihimili yote ya serikali na wanaowafichua MAFISADI wanapigwa mawe na mihimili yote ya serikali.
Zaidi sana watu wanamkumbuka mtumishi wa Mungu, JPM.
Pia soma Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Zaidi ya 98% wanaona Mpina hakutendewa haki.
Zaidi sana wameichukia serikali hii kwa kiwango kisichoelezeka, hasa kwa kosa la kuwakumbatia MAFISADI.
Hukumu ya Mpina imeweka mambo wazi kabisa kwamba kwa serikali hii, MAFISADI wanalindwa na kutetewa na mihimili yote ya serikali na wanaowafichua MAFISADI wanapigwa mawe na mihimili yote ya serikali.
Zaidi sana watu wanamkumbuka mtumishi wa Mungu, JPM.
Pia soma Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

