- Thread starter
- #21
CCMtaja chama chako cha siasa tuweze kutathmini hayo maoni ya vijiwe vingi kihusu huyo muungwana![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCMtaja chama chako cha siasa tuweze kutathmini hayo maoni ya vijiwe vingi kihusu huyo muungwana![]()
Kwa lugha rahisi ni kwamba "serikali ina wenyewe." Ni kundi la watu lililoiteka serikali iwafanyie kazi wanayotaka wao.2. Sababu ya pili wanasema kwamba, wakati wa JPM watu walilipa kodi lakini waliona matunda ya kodi zao tofauti kabisa na sasa ambapo asilimia kubwa ya kodi wanazolipa zinawatajirisha MAFISADI ambao wanalindwa na utawala.
Mi hata simkumbuki wallahMi ninachoshangaa hata wale waluomchukia JPM wanamkumbuka. Kwamba Bora yule alikua na mapungufu mengine Kwa wanasiasa ila kwenye uchumi na kuwajali wanachi angekua hai tungekua mbali.
Nikashangaa sana, tajiri uliemchukua Leo hii unamkumbuka duuhh, Hali sio poa.
Ngoja tu nitumie vineno vyako hapa kuweka uchafu ninaotaka kuutoa kichwani mwangu:Mafisadi hawatapenya
BabuuuMi hata simkumbuki wallah
Wanatulazimisha tuwakumbuke mafedhuli....Babuuu
Mungu amfanyie wepesi katika hii vita tukufu anayoipambania. Hayo matakataka yanayomwekea uzibe iko siku Mungu atayaumbua kama Billy Ruto.Mpina katika bunge la Tanzania ndio mtu mwenye akili timimamu ukitoa tu Mdee
Hivyo vijiwe vyako ulivyovitembelea havina maana.Tangu hukumu ya Mpina itolewe pale Bungeni, vijiwe na maeneo yote yenye mikusanyiko wanamlilia Mpina na wamewachukia kabisa wanaojiita Wabunge.
Zaidi ya 98% wanaona Mpina hakutendewa haki.
Zaidi sana wameichukia serikali hii kwa kiwango kisichoelezeka, hasa kwa kosa la kuwakumbatia MAFISADI.
Hukumu ya Mpina imeweka mambo wazi kabisa kwamba kwa serikali hii, MAFISADI wanalindwa na kutetewa na mihimili yote ya serikali na wanaowafichua MAFISADI wanapigwa mawe na mihimili yote ya serikali.
Zaidi sana watu wanamkumbuka mtumishi wa Mungu, JPM.
Pia soma Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Ukishajifuangua utarejea kwenye Hali yako ya kawaidaMi hata simkumbuki wallah
Wizi na udugu katika Imani imekuwa ni kama Uji na MgonjwaHivyo vijiwe vyako ulivyovitembelea havina maana.
Kuna kijiwe kikubwa zaidi ya JF kwa sasa Tanzania hii?
Umeacha ushoga?Ukishajifuangua utarejea kwenye Hali yako ya kawaida
KisemeHivi ni kweli nilichosikia ? 😭
Ni uzushi.Hivi ni kweli nilichosikia ? 😭
Nadhani hiyo ni njia ndefu zaidi, maana baada ya Mpina watafanya kwa mwingine kisha mwingine na haitakuwa na mwisho.Tuna paswa kuandamana kumpigania Mpina