Luhaga Mpina: Mfumuko wa bei umetengenezwa. Ataka uchunguzi kilichojificha Symbion na mikataba mibovu ikafutwe bungeni

Luhaga Mpina: Mfumuko wa bei umetengenezwa. Ataka uchunguzi kilichojificha Symbion na mikataba mibovu ikafutwe bungeni

asa hivi naskia symbion wanapigiwa chapuo tuilipe bilioni 356 lakini inapigiwa hili chapuo wakati huohuo hatuambiwi alieingia mkataba huo na kutusababisha tuwe na mkataba ambao hatuwezi ku-exit hata kama mkataba unatuingizia hasara, amechukuliwa hatua gani?
Mzee Mpina, mafisi yapo kazini, alipoteuliwa huyu waziri tulijua hilo linakuja, ni chain ndefu kdg hadi wastaafu wasio na aibu.
 
Na huko Kenya, France, Marekani, UK n.k ambako kunaripotiwa mfumuko wa bei mkubwa kuwahi kushuhudiwa toka 2008, pia huo mfumuko umetengenezwa?

Vipi kuhusu wananchi Ulaya kutoruhusiwa kununua mafuta ya kula zaidi ya chupa moja nako kumetengenezwa na January Makamba na washirika wake?

Huyu mpuuzi Mpina si ndio inasemekana aliharibu maisha ya wavuvi wengi na kujimilikisha ekari nyingi kinyume na sheria hapo Morogoro? Huu uchungu na wananchi ameutoa wapi ghafla bin vuu?

Asifikiri anaweza kugombanisha wananchi na serikali halafu arukie kwenye hicho chama chao cha Umoja Party!

Huyu mjinga better he is reminded waliopo madarakani saivi wamekulia kwenye corridors of power. Wanajua mchezo wake wa mbuni kuficha kichwa chini huku kiwiliwili kikiwa nje!

3B8643E8-E11A-4182-A576-99EEA6C12729.png
 
Hauna akili wakat was JPM Kulikua na mfumuko Huu wa Maisha ? Ulisikia chokochoko za symbion??..

Tunakoelekea ,mtashangalia hata Hawa walozuiliwa mchanga madini, nao walipwe.


Tatizo Moja Tanzania, ni kukoswa watu wazalendo, Wenye uchungu na wafia nchi.


Mtu kama wewe, Hupaswi kupewa nafasi yoyote ile ya Kiongozi hata KAZINI kwako !!.

Maana Hautakua Productivity yoyote.

Hatuna muda wa kujiunga na wazalendo wakatili. Mikataba ya manunuzi ya ndege iko wazi? Ujenzi wa reli, bwawa iko wazi? Hatuingi mkono wizi ndani ya nchi yetu, lakini hatuungani na wanafiki walioshiriki uovu wa Magufuli dhidi yetu.
 
Maxamalipo ilifanyiwa figisu na utawala wa jiwe
 
Akichangia hotuba ya waziri wa viwanda na biashara, mbunge Kisesa, Luhaga Mpina ameongelea mambo mbalimbali ikiwemo uhusiano kati ya sekta binafsi na umma, mikataba mibovu ukiwemo wa Tanesco na Symbion, bilioni 70 za mkataba wa maendeleo ya tehama Tanesco na Mahindra ya India, mkataba mpya unaokuja TPA, bei ya mafuta nchini na mfumuko wa bei.

=======

Luhaga Mpina: Suala la uwekezaji wa Serikali na sekta binafsi linahitaji kuangaliwa kwa makini sana, mikataba mingi tuliyoingia inanyonya mapato ya nchi, uchumi wa nchi, inahamisha rasilimali, inapora ajira za watanzania.

Sasa hivi TPA nae ameanza kutafuta mbia, mikataba ya namna hii lakini ipo mikataba inayotusumbua mpaka sasahivi ya TRA na sicpa. Ipo mikataba tumeingia majuzi ya India Mahindra na Tanesco zaidi ya bilioni 70 kwaajili ya kuendeleza mifumo ya Tehama wakati wataalamu wa tehama tunao hapa wa kila aina wanaoweza kudevelop mifumo ya Tehama. Vijana wetu wamedevelop mifumo kama GPG, POS na hata Maxmalipo, leo unaenda kutafuta mfumo India kwaajili ya kufanya nini?

Sasa hivi naskia symbion wanapigiwa chapuo tuilipe bilioni 356 lakini inapigiwa hili chapuo wakati huohuo hatuambiwi alieingia mkataba huo na kutusababisha tuwe na mkataba ambao hatuwezi ku-exit hata kama mkataba unatuingizia hasara, amechukuliwa hatua gani?

Wabunge tukataeni mikataba ya namna hii lakini tukataeni hata kulipa hizi fedha, uchunguzi ufanyike kilichojificha nyuma ya Symbion.

Mikataba yote ambayo tunaitambulisha kama mikataba mibovu iitishwe hapa bungeni tuweze kuifuta.

Mwisho Luhaga Mpina ameongelea mfumuko wa bei nchini na kusema pamoja na Covid na vita lakini mfumuko umechangiwa na kukosekana uadilifu na usimamizi makini.

Mpina amesema upangaji holela wa bei kinachoshangaza kwanini wahusika hawajachukuliwa hatua. Amedai waziri anawajua waagizaji wa mafuta nje ya nchi, ngano na anawajua wazalishaji wa ndani ya nchi.

View attachment 2217807
Mpina Amejaa madini, ujasiri, ukweli.

Kwanini hatuchunguzi Mikataba ya Symbion, IPTL, Escrow. Nani aliikubali, alisaini? Ili cost billions.
 
Issue ya Symbion tulipaswa kujiuliza nani ametuingiza kwenye hii shida hadi nchi haiwezi kujikwamua?

Aliyetuingiza huu mkenge yupo huru akipiga mluzi pengine anasubiri 10% yake tukilipa hizo fedha.

Watoto wao (wezi) ndio wamepewa nchi.
 
Hao wahindi wenyewe kwao shida tu umeme ndio wataweza kwetu
 
Issue ya Symbion tulipaswa kujiuliza nani ametuingiza kwenye hii shida hadi nchi haiwezi kujikwamua?

Aliyetuingiza huu mkenge yupo huru akipiga mluzi pengine anasubiri 10% yake tukilipa hizo fedha.
Magufuli ndio hivyo tena alisema lazima nchi tuwalinde wastaafu hata kama ni mafisadi kiasi gani.
Tunaotetea legacy yake tumsaliti kwenye hili?
 
Back
Top Bottom