Awamu yao ipi? Zote ni awamu zao.
Anayosema ni kweli, lakini kwanini alikaa kimya awamu yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayosema ni kweli, lakini kwanini alikaa kimya awamu yao?
Hongera Luhaga. Wizi wizi vinatutesa sana. Vipo kwa damuAkichangia hotuba ya waziri wa viwanda na biashara, mbunge Kisesa, Luhaga Mpina ameongelea mambo mbalimbali ikiwemo
View attachment 2217807
Mzee Mpina, mafisi yapo kazini, alipoteuliwa huyu waziri tulijua hilo linakuja, ni chain ndefu kdg hadi wastaafu wasio na aibu.asa hivi naskia symbion wanapigiwa chapuo tuilipe bilioni 356 lakini inapigiwa hili chapuo wakati huohuo hatuambiwi alieingia mkataba huo na kutusababisha tuwe na mkataba ambao hatuwezi ku-exit hata kama mkataba unatuingizia hasara, amechukuliwa hatua gani?
Of course!!Issue ya Symbion tulipaswa kujiuliza nani ametuingiza kwenye hii shida hadi nchi haiwezi kujikwamua?
Aliyetuingiza huu mkenge yupo huru akipiga mluzi pengine anasubiri 10% yake tukilipa hizo fedha.
Unafiki tu, CCM wote ni wale wale.
Nasisitiza ni wanafiki tu hao .Huyu kuna kitu anakitafuta, akipata atakaa kimya kama wenzake.Haya angeyasema lissu ungekuja kusema "mwanasheria msomi katapika nondo" kwakuwa ni mtu ambaye humpendi ata kama kaongea jambo la maana unadhiaki, ndo maana chadema mmepoteza ushawishi kwa wananchi.
Kwa hiyo huyo Mpina ni Chadema??
Hauna akili wakat was JPM Kulikua na mfumuko Huu wa Maisha ? Ulisikia chokochoko za symbion??..
Tunakoelekea ,mtashangalia hata Hawa walozuiliwa mchanga madini, nao walipwe.
Tatizo Moja Tanzania, ni kukoswa watu wazalendo, Wenye uchungu na wafia nchi.
Mtu kama wewe, Hupaswi kupewa nafasi yoyote ile ya Kiongozi hata KAZINI kwako !!.
Maana Hautakua Productivity yoyote.
Mpina Amejaa madini, ujasiri, ukweli.Akichangia hotuba ya waziri wa viwanda na biashara, mbunge Kisesa, Luhaga Mpina ameongelea mambo mbalimbali ikiwemo uhusiano kati ya sekta binafsi na umma, mikataba mibovu ukiwemo wa Tanesco na Symbion, bilioni 70 za mkataba wa maendeleo ya tehama Tanesco na Mahindra ya India, mkataba mpya unaokuja TPA, bei ya mafuta nchini na mfumuko wa bei.
=======
Luhaga Mpina: Suala la uwekezaji wa Serikali na sekta binafsi linahitaji kuangaliwa kwa makini sana, mikataba mingi tuliyoingia inanyonya mapato ya nchi, uchumi wa nchi, inahamisha rasilimali, inapora ajira za watanzania.
Sasa hivi TPA nae ameanza kutafuta mbia, mikataba ya namna hii lakini ipo mikataba inayotusumbua mpaka sasahivi ya TRA na sicpa. Ipo mikataba tumeingia majuzi ya India Mahindra na Tanesco zaidi ya bilioni 70 kwaajili ya kuendeleza mifumo ya Tehama wakati wataalamu wa tehama tunao hapa wa kila aina wanaoweza kudevelop mifumo ya Tehama. Vijana wetu wamedevelop mifumo kama GPG, POS na hata Maxmalipo, leo unaenda kutafuta mfumo India kwaajili ya kufanya nini?
Sasa hivi naskia symbion wanapigiwa chapuo tuilipe bilioni 356 lakini inapigiwa hili chapuo wakati huohuo hatuambiwi alieingia mkataba huo na kutusababisha tuwe na mkataba ambao hatuwezi ku-exit hata kama mkataba unatuingizia hasara, amechukuliwa hatua gani?
Wabunge tukataeni mikataba ya namna hii lakini tukataeni hata kulipa hizi fedha, uchunguzi ufanyike kilichojificha nyuma ya Symbion.
Mikataba yote ambayo tunaitambulisha kama mikataba mibovu iitishwe hapa bungeni tuweze kuifuta.
Mwisho Luhaga Mpina ameongelea mfumuko wa bei nchini na kusema pamoja na Covid na vita lakini mfumuko umechangiwa na kukosekana uadilifu na usimamizi makini.
Mpina amesema upangaji holela wa bei kinachoshangaza kwanini wahusika hawajachukuliwa hatua. Amedai waziri anawajua waagizaji wa mafuta nje ya nchi, ngano na anawajua wazalishaji wa ndani ya nchi.
View attachment 2217807
Issue ya Symbion tulipaswa kujiuliza nani ametuingiza kwenye hii shida hadi nchi haiwezi kujikwamua?
Aliyetuingiza huu mkenge yupo huru akipiga mluzi pengine anasubiri 10% yake tukilipa hizo fedha.
Mpina kanyooka kama ruler. Haya majizi hayawezi ku withstand truth yatamuundia zengwe afukuzwe.
Magufuli ndio hivyo tena alisema lazima nchi tuwalinde wastaafu hata kama ni mafisadi kiasi gani.Issue ya Symbion tulipaswa kujiuliza nani ametuingiza kwenye hii shida hadi nchi haiwezi kujikwamua?
Aliyetuingiza huu mkenge yupo huru akipiga mluzi pengine anasubiri 10% yake tukilipa hizo fedha.
Zilikuwa hazilipwiiiiAnayosema ni kweli, lakini kwanini alikaa kimya awamu yao?
Opportunistics ni shida katika Nchi!! Hata Profesa Assad aliliona hilo kuwa ndio tatizo kuu!!!Nasisitiza ni wanafiki tu hao .Huyu kuna kitu anakitafuta, akipata atakaa kimya kama wenzake.
Kwamba hawafahamu kuwa ni Mafisi? Kwamba Chama chake hakijui kuwa ni Mafisi? Anajua sana sema kaamua tu kuwakumbatia,.. Bilion 7 kwa toyo tua? Ni Fisi mwenzao mkuuMama SSH ana nia nzuri sana na nchi hii, sema amezungukwa ma 'mafisi' hatari sana wanaojifanya kondoo!