n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Taifa lilipata political accident. Taifa limegeuka shamba la Bibi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sioni ubaya wake.Wakimaliza hili, wahamie kwenye sakata la viongozi wa serikali kumiliki timu za mpira.
Tena Mpaka acces ya simu wanakuwa nayoRiba za asilimia 35 mpaka 40 ndani ya siku 5 mpaka 6 kwa mamilioni ya watanzania masikini, ni moja ya biashara inayowalipa sana hawa watu na silaha yao kuu ni anaeshindwa kulipa anatangazwa mitandaoni.
Haya mambo ni possible tu kwenye nchi ambazo serikali ni lege lege ama corrupt.
Matapeli yapo kwenye chama siyo rahisi kuyakamataHakika nawaambieni, hii biashara haramu ya kukopesha mitandaoni kwa riba kubwa tena kwa kutumia mitandao ya simu ya humu nchini pasipo wahusika kukamatwa, ni biashara ya vigogo kama ilivyo biashara ya kuagiza sukari.
Kama unabisha, wewe tengeneza App zako na uzitumie kufanya biashara haramu uone kama hutakamtwa ndani ya siku chache tu.
Fanyieni uchunguzi jambo hili, mtakuja kuniambia.
Jamaa wanatafuna haswa mali za ummaHuu urefu wa kamba huuu!!!
Mikononi mwa Samia Tanzania inakufa kabisa,mimi lawama zangu ni kwa Nyerere tu,kwa sababu alitumia nguvu kubwa kuhakikisha CCM inaendelea kutawala akiwaita wapinzani ni mbwaHakika nawaambieni, hii biashara haramu ya kukopesha mitandaoni kwa riba kubwa tena kwa kutumia mitandao ya simu ya humu nchini pasipo wahusika kukamatwa, ni biashara ya vigogo kama ilivyo biashara ya kuagiza sukari.
Kama unabisha, wewe tengeneza App zako na uzitumie kufanya biashara haramu uone kama hutakamtwa ndani ya siku chache tu.
Fanyieni uchunguzi jambo hili, mtakuja kuniambia.
Mimi nimekopa apps zote kisha nikawadhulumuUkiacha kuwa ni biashara ya riba kubwa,Lakini ni Biashara kichaka yakutakatisha pesa walizoiba washenz..i hawa.