Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni

Tena Mpaka acces ya simu wanakuwa nayo
 
Matapeli yapo kwenye chama siyo rahisi kuyakamata
 
Mikononi mwa Samia Tanzania inakufa kabisa,mimi lawama zangu ni kwa Nyerere tu,kwa sababu alitumia nguvu kubwa kuhakikisha CCM inaendelea kutawala akiwaita wapinzani ni mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…