Luhaga Mpina, shikilia hapohapo

Luhaga Mpina, shikilia hapohapo

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ndugu Mpina.

Unaupiga mwingi sana.

Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya.

Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Ninajua wazi kuwa na wewe ulikuwa timu ya utawala uliopita na ulizingua sana ktk kuchoma nyavu za wavuvi masikini lakini hata hivyo hata wao walikuwa pia sehemu ya utawala uliopita. Angalau wewe sasa hivi unaongelea mambo makubwa na muhimu ya nchi lakini wao wapo katika kutoa kauli za dharau kuwa twende Burundi, Wengine wanatetea makampuni ya data na simu badala ya kutetea wananchi.

Endelea kushikilia hapohapo kwenye suala la katiba mpya, maana huo ndo mwarobaini wa ujingaujinga mwingi unaoendelea nchi hii
 
CCM haitotawala milele ila itatawala miaka mingi sana kwa kuwa inatumia style ile ile ya kuzubaisha watu na watu wanazubaa kweli


wamesahau ya kina Anna Kilango, Harison Mwakyembe, Kangi Lugora n.k

CCM ni kama Mto unaotirirsha maji…ukikutana na Ugogo na chafu mwingi unazuga kujitenga na kutengeneza matawi tofauti na wanakuja kuungana mbele ya safari wakishavuka vigingi

Luhaga 2025 atakuwa Mwenyekiti wa Kampeni za Mama kanda ya Ziwa Inshallah bi idhni llah!
 
Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.
Kwa hili namuunga mkono
 
Ndugu Mpina.

Unaupiga mwingi sana.

Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya.

Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Ninajua wazi kuwa na wewe ulikuwa timu ya utawala uliopita na ulizingua sana ktk kuchoma nyavu za wavuvi masikini lakini hata hivyo hata wao walikuwa pia sehemu ya utawala uliopita. Angalau wewe sasa hivi unaongelea mambo makubwa na muhimu ya nchi lakini wao wapo katika kutoa kauli za dharau kuwa twende Burundi, Wengine wanatetea makampuni ya data na simu badala ya kutetea wananchi.

Endelea kushikilia hapohapo kwenye suala la katiba mpya, maana huo ndo mwarobaini wa ujingaujinga mwingi unaoendelea nchi hii
Katiba mpya walioko madarakani hawaitaki.

Kama kuna mtu hayuko madarakani na halambi asali na bado anapinga Katiba Mpya huyo ni mjinga sana
 
CCM haitotawala milele ila itatawala miaka mingi sana kwa kuwa inatumia style ile ile ya kuzubaisha watu


wamesahau ya kina Anna Kilango, Harison Mwakyembe, Kangi Lugora n.k

CCM ni kama Mto unaotirirsha maji…ukikutana na Ugogo na chafu mwingi unazuga kujitenga na kutengeneza matawi tofauti na wanakuja kuungana mbele ya safari wakishavuka vigingi

Luhaga 2025 atakuwa Mwenyekiti wa Kampeni za Mama kanda ya Ziwa Inshallah bi idhni llah!
Sawa wacha waendelee na maigizo huku Nchi ikididimia kwa umaskini na udumavu wa akili kama wako.
 
CCM haitotawala milele ila itatawala miaka mingi sana kwa kuwa inatumia style ile ile ya kuzubaisha watu


wamesahau ya kina Anna Kilango, Harison Mwakyembe, Kangi Lugora n.k

CCM ni kama Mto unaotirirsha maji…ukikutana na Ugogo na chafu mwingi unazuga kujitenga na kutengeneza matawi tofauti na wanakuja kuungana mbele ya safari wakishavuka vigingi

Luhaga 2025 atakuwa Mwenyekiti wa Kampeni za Mama kanda ya Ziwa Inshallah bi idhni llah!
Hiyo analogia ya mto umewaza sana
 
Huyu jamaa ana Saka uwaziri tu hakuna jingine, akilipata Hilo atakua kma Bashiru na Polepole. Sijui kwanini waTanzania hatujifunzi tu juu ya Hawa wanasiasa wa CCM.
 
CCM haitotawala milele ila itatawala miaka mingi sana kwa kuwa inatumia style ile ile ya kuzubaisha watu


wamesahau ya kina Anna Kilango, Harison Mwakyembe, Kangi Lugora n.k

CCM ni kama Mto unaotirirsha maji…ukikutana na Ugogo na chafu mwingi unazuga kujitenga na kutengeneza matawi tofauti na wanakuja kuungana mbele ya safari wakishavuka vigingi

Luhaga 2025 atakuwa Mwenyekiti wa Kampeni za Mama kanda ya Ziwa Inshallah bi idhni llah!
Nimeshangaa hata Chadema wanamkaribisha ikiwa CCM watamkata!! Kwa style hii nikiri tu CCM itatawala sio tu miaka mingi ila mpaka kiama maana tunachezewa mchezo ule ule hatujifunzi.
 
Back
Top Bottom