troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Mbwa koko weweJPM alisema Mpina ni kichaa, na ninaona mwezi mchanga hapa dodoma, bila shaka ni muda wake wa kutumia dozi ya ugonjwa wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa koko weweJPM alisema Mpina ni kichaa, na ninaona mwezi mchanga hapa dodoma, bila shaka ni muda wake wa kutumia dozi ya ugonjwa wa akili
Huyu jamaa ana Saka uwaziri tu hakuna jingine, akilipata Hilo atakua kma Bashiru na Polepole. Sijui kwanini waTanzania hatujifunzi tu juu ya Hawa wanasiasa wa CCM.
Jamaa kwani zitto anataka kuwa nani kwenye siasa ? Yaani tuikatae hoja yake njema kisa ndoto zake usizozikubali. Na frankly speaking kila mtu anapambani tumbo lake regardless chama gani.
Mkuu 'zitto junior', kihelehele kinazidi kunipanda nijibu hoja zako kuhusu huyu jamaa Luhaga Mpina.Hujanielewa!! Mpina alikua mbunge machachari sana 2010-15 enzi hizo akiwa kamati ya Biashara/ mitaji na uwekezaji? ila baadae akapewa uwaziri na JPM akapoa... Akaacha kupigania maslahi ya wananchi bungeni yeye kazi yake ikawa ni kupongeza tu.
Cha kushangaza kakosa uwaziri ndio amegundua eti ndege zikikamatwa zitangazwe!! Kwamba Acacia watulipe matrillion yetu!! Kwamba malipo nje ya bajeti ni ufisadi ilihali mambo hayo pia yalifanyika kipindi Cha JPM ila alikaa kimya kulinda cheo.
Huyu ni mnafiki tu siku akipewa uwaziri atasema katiba mpya Haina ulazima na atasifia mikopo ya Samia.
Jifunzeni kwa Polepole wa awamu ya JK na awamu ya JPM!! alikana katiba mpya kabisa kwamba ni makaratasi ya kabatini tu
Haya sasa ona 'spin' za aina yake zinavyoibuliwa kwa lengo maalum.G55 ilianzishwa ndani ya CCM na lengo lake halikuwa kuvunja Muungano wala Serikali tatu bali kumdhibiti Dr. Salmeen Amour dhidi ya agenda yake ya kuipeleka Nchi Katika moja ya jumuia za kimataifa ambazo hazikuwa zinakubalika na Mhimili (OIC) na walipofanikiwa hilo kina Njelu kasaka wakaendelea na mambo mengine
hata zilipoanza vurugu za Richmond wachache sana ndio walielewa motive yake
napenda tu kukufahamisha kuwa Kamati kuu za Vyama vyote vikubwa asilimia zaid ya 70 wamejaa 'Mtu kazi'
Haya ya kuhusu G55 kama ni uongo basi nimeusoma kwny kitabu cha Maisha ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …kaeleza kwa kirefu sana na hata zogo hilo lilimalizwa baada ya kuwahakikishia Wenyewe kuwa Znz itajitoa kwny OICHaya sasa ona 'spin' za aina yake zinavyoibuliwa kwa lengo maalum.
Hapa anapelekewa ujumbe mahsusi mwanzilishi wa mada; bila shaka akipewa tahadhari.
Kusema kundi la GG55 ndani ya CCM lengo lake lilikuwa ni tofauti na swala la Muungano ni kupindishi kuliko wazi kwa maksudi kabisa kwa lengo ulijualo mwenyewe.
Na bandiko linajieleza waziwazi lengo ni nini.
Sina ufahamu wa yaliyoandikwa ndani ya kitabu hicho; lakini ninauelewa wa mijadala iliyofanyika ndani ya Bunge wakati huo kuhusu jambo hilo..Haya ya kuhusu G55 kama ni uongo basi nimeusoma kwny kitabu cha Maisha ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …kaeleza kwa kirefu sana na hata zogo hilo lilimalizwa baada ya kuwahakikishia Wenyewe kuwa Znz itajitoa kwny OIC
kila siku tunasoma ili kupata jambo jipya na hakuna deadline ya kuelimika, ungekuwa ni msomaji wa vitabu ningekushauri usome kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi na cha Njelu Kasaka mwenye G55 , maana hawa ndio main Characters upate kufahamu yaliyokuwa nyuma ya pazia ya mjadala uleSina ufahamu wa yaliyoandikwa ndani ya kitabu hicho; lakini ninauelewa wa mijadala iliyofanyika ndani ya Bunge wakati huo kuhusu jambo hilo..
Leo ndiyo mara ya kwanza kusikia likiunganishwa na maswala mengine mbali ya kudai serikali ya Tanganyika; na wala siyo kuvunja muungano.
Shida haipo kwenye katiba.
Kwani katiba ya sasa inafuatwa ipasavyo?
Binafsi ni muumini wa 'adage' "elimu haina mwisho"; na elimu haina sehemu moja tu inakopatikana, i.e, vitabuni. Siku hizi elimu inapatikana sehemu mbalimbali zaidi ya vitabuni pekee.kila siku tunasoma ili kupata jambo jipya na hakuna deadline ya kuelimika, ungekuwa ni msomaji wa vitabu ningekushauri usome kitabu cha Mzee Ally Hassan Mwinyi na cha Njelu Kasaka mwenye G55 , maana hawa ndio main Characters upate kufahamu yaliyokuwa nyuma ya pazia ya mjadala ule
kwenye Siasa kila jambo lina pande mbili , kuna namna lilivyosukwa ili jamii ilione kama ilivyokusudiwa na kuna lengo la kusukwa ili lionekane kama lilivyoonekana na Mimi ni mfukunyuku sana wa upande wa pili kwny saga zote za kisiasa …siku zikipita inshallah utajua lengo la pili la kuona hizi heka heka za hawa Wabunge baadhi walioanza kukosoa ghafla Serikali
ila pia una hiyari ya kuamini unachohisi ni sahihi pia