Luhaga Mpina, shikilia hapohapo

Luhaga Mpina, shikilia hapohapo

Huyu jamaa ana Saka uwaziri tu hakuna jingine, akilipata Hilo atakua kma Bashiru na Polepole. Sijui kwanini waTanzania hatujifunzi tu juu ya Hawa wanasiasa wa CCM.
Jamaa kwani zitto anataka kuwa nani kwenye siasa ? Yaani tuikatae hoja yake njema kisa ndoto zake usizozikubali. Na frankly speaking kila mtu anapambani tumbo lake regardless chama gani.
 
Ndugu Mpina.

Unaupiga mwingi sana.

Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya.

Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Ninajua wazi kuwa na wewe ulikuwa timu ya utawala uliopita na ulizingua sana ktk kuchoma nyavu za wavuvi masikini lakini hata hivyo hata wao walikuwa pia sehemu ya utawala uliopita. Angalau wewe sasa hivi unaongelea mambo makubwa na muhimu ya nchi lakini wao wapo katika kutoa kauli za dharau kuwa twende Burundi, Wengine wanatetea makampuni ya data na simu badala ya kutetea wananchi.

Endelea kushikilia hapohapo kwenye suala la katiba mpya, maana huo ndo mwarobaini wa ujingaujinga mwingi unaoendelea nchi hii
Ukiona mwanaccm anapingana na chama chake hadharani we juwa tu anawajambisha wampe cheo. Uyo unaemsifia ashapata fununu baraza la mawaziri linafumuliwa siku sio nyingi anachokifanya sasa hivi ni zile zile mbinu za Humphrey Polepole
 
Ukiona mwanaccm anapingana na chama chake hadharani we juwa tu anawajambisha wampe cheo. Uyo unaemsifia ashapata fununu baraza la mawaziri linafumuliwa siku sio nyingi anachokifanya sasa hivi ni zile zile mbinu za Humphrey Polepole
Ahh kabisa

Ova
 
Jamaa kwani zitto anataka kuwa nani kwenye siasa ? Yaani tuikatae hoja yake njema kisa ndoto zake usizozikubali. Na frankly speaking kila mtu anapambani tumbo lake regardless chama gani.
Hujanielewa!! Mpina alikua mbunge machachari sana 2010-15 enzi hizo akiwa kamati ya Biashara/ mitaji na uwekezaji? ila baadae akapewa uwaziri na JPM akapoa... Akaacha kupigania maslahi ya wananchi bungeni yeye kazi yake ikawa ni kupongeza tu.

Cha kushangaza kakosa uwaziri ndio amegundua eti ndege zikikamatwa zitangazwe!! Kwamba Acacia watulipe matrillion yetu!! Kwamba malipo nje ya bajeti ni ufisadi ilihali mambo hayo pia yalifanyika kipindi Cha JPM ila alikaa kimya kulinda cheo.

Huyu ni mnafiki tu siku akipewa uwaziri atasema katiba mpya Haina ulazima na atasifia mikopo ya Samia.

Jifunzeni kwa Polepole wa awamu ya JK na awamu ya JPM!! alikana katiba mpya kabisa kwamba ni makaratasi ya kabatini tu
 
Hujanielewa!! Mpina alikua mbunge machachari sana 2010-15 enzi hizo akiwa kamati ya Biashara/ mitaji na uwekezaji? ila baadae akapewa uwaziri na JPM akapoa... Akaacha kupigania maslahi ya wananchi bungeni yeye kazi yake ikawa ni kupongeza tu.

Cha kushangaza kakosa uwaziri ndio amegundua eti ndege zikikamatwa zitangazwe!! Kwamba Acacia watulipe matrillion yetu!! Kwamba malipo nje ya bajeti ni ufisadi ilihali mambo hayo pia yalifanyika kipindi Cha JPM ila alikaa kimya kulinda cheo.

Huyu ni mnafiki tu siku akipewa uwaziri atasema katiba mpya Haina ulazima na atasifia mikopo ya Samia.

Jifunzeni kwa Polepole wa awamu ya JK na awamu ya JPM!! alikana katiba mpya kabisa kwamba ni makaratasi ya kabatini tu
Unaogopa nini bwashee? Mbona unamuogopa Mpina kiasi hicho? Jadili hoja yake tu, mengine mwachie yeye
 
Ndugu Mpina.

Unaupiga mwingi sana.

Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya.

Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Ninajua wazi kuwa na wewe ulikuwa timu ya utawala uliopita na ulizingua sana ktk kuchoma nyavu za wavuvi masikini lakini hata hivyo hata wao walikuwa pia sehemu ya utawala uliopita. Angalau wewe sasa hivi unaongelea mambo makubwa na muhimu ya nchi lakini wao wapo katika kutoa kauli za dharau kuwa twende Burundi, Wengine wanatetea makampuni ya data na simu badala ya kutetea wananchi.

Endelea kushikilia hapohapo kwenye suala la katiba mpya, maana huo ndo mwarobaini wa ujingaujinga mwingi unaoendelea nchi hii
Hivi bado mna mda na nguvu ya kukisikiza hili bunge na dictator JPM??

Ndg yangu tafuta ela kiyashabikia MaCCM ni zaidi ya ujinga
 
CCM haitotawala milele ila itatawala miaka mingi sana kwa kuwa inatumia style ile ile ya kuzubaisha watu na watu wanazubaa kweli


wamesahau ya kina Anna Kilango, Harison Mwakyembe, Kangi Lugora n.k

CCM ni kama Mto unaotirirsha maji…ukikutana na Ugogo na chafu mwingi unazuga kujitenga na kutengeneza matawi tofauti na wanakuja kuungana mbele ya safari wakishavuka vigingi

Luhaga 2025 atakuwa Mwenyekiti wa Kampeni za Mama kanda ya Ziwa Inshallah bi idhni llah!
Sisi tunataka katiba mpya, hayo mambo ya watatawala mpaka lini yamo mikononi mwa Allah. Yeye ndo hutoa manlaka kwa watu na huyachukua kwa namna atakayo yeye.

Si kila upinzani utokao ndani ya CCM umeasisiwa na CCM wenyewe. G55 haikuasiisiwa na CCM yenyewe.
 
Ndugu Mpina.

Unaupiga mwingi sana.

Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya.

Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Ninajua wazi kuwa na wewe ulikuwa timu ya utawala uliopita na ulizingua sana ktk kuchoma nyavu za wavuvi masikini lakini hata hivyo hata wao walikuwa pia sehemu ya utawala uliopita. Angalau wewe sasa hivi unaongelea mambo makubwa na muhimu ya nchi lakini wao wapo katika kutoa kauli za dharau kuwa twende Burundi, Wengine wanatetea makampuni ya data na simu badala ya kutetea wananchi.

Endelea kushikilia hapohapo kwenye suala la katiba mpya, maana huo ndo mwarobaini wa ujingaujinga mwingi unaoendelea nchi hii
CCM kinachowaponza ni teuzi za upendeleo
 
Unaogopa nini bwashee? Mbona unamuogopa Mpina kiasi hicho? Jadili hoja yake tu, mengine mwachie yeye
Nyie endeleeni kuhadaika, nimeacha zamani sana kuwaamini wabunge wa CCM nitarudi hapa kuwakumbusha akishakua naibu waziri. Bashe aliwahi sema TISS ivunjwe isukwe upya kisa kuteka wapinzani ila alipopewa uwaziri ndio kwanza akasema wapinzani wanyooshwe!! So ni wanafiki sana Hawa jamaa hakuna uzalendo zaidi ya maigizo kupata umaarufu wa uwaziri. Wakipata wanakuja Tena kubomoa hizo hoja.
 
Ndugu Mpina.

Unaupiga mwingi sana.

Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya.

Nimefurahi kuona kuwa, umegundua kuwa mzizi wa fitina wa mambo yetu kuwa hovyohivyo ni kwa sababu ya katiba mbovu inayotoa impunity kwa watu wachache kufanya wanalotaka kwa sababu wanajua somewhere ktk chain ya ya mamlaka wanalindwa na mtu anayelindwa na katiba kutoshitakiwa na asiyelazimika kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Ninajua wazi kuwa na wewe ulikuwa timu ya utawala uliopita na ulizingua sana ktk kuchoma nyavu za wavuvi masikini lakini hata hivyo hata wao walikuwa pia sehemu ya utawala uliopita. Angalau wewe sasa hivi unaongelea mambo makubwa na muhimu ya nchi lakini wao wapo katika kutoa kauli za dharau kuwa twende Burundi, Wengine wanatetea makampuni ya data na simu badala ya kutetea wananchi.

Endelea kushikilia hapohapo kwenye suala la katiba mpya, maana huo ndo mwarobaini wa ujingaujinga mwingi unaoendelea nchi hii
Mpina ni muigizaji tu...hana lolote!

Wakati alipopewa uwaziri wa mifugo na uvuvi wakati wa serkali ya awami ya Tano alitesa watanzania sana. Alifirisi wavuvi na wafugaji wengi mno kwa ukatili mkubwa!

Mpina ni kiongozi wa hovyo kwelikweli!
 
Mpina ni muigizaji tu...hana lolote!

Wakati alipopewa uwaziri wa mifugo na uvuvi wakati wa serkali ya awami ya Tano alitesa watanzania sana. Alifirisi wavuvi na wafugaji wengi mno kwa ukatili mkubwa!

Mpina ni kiongozi wa hovyo kwelikweli!
Sawa, lakini sasa hivi anaongea mambo yenye tija!
 
Sisi tunataka katiba mpya, hayo mambo ya watatawala mpaka lini yamo mikononi mwa Allah. Yeye ndo hutoa manlaka kwa watu na huyachukua kwa namna atakayo yeye.

Si kila upinzani utokao ndani ya CCM umeasisiwa na CCM wenyewe. G55 haikuasiisiwa na CCM yenyewe.
G55 ilianzishwa ndani ya CCM na lengo lake halikuwa kuvunja Muungano wala Serikali tatu bali kumdhibiti Dr. Salmeen Amour dhidi ya agenda yake ya kuipeleka Nchi Katika moja ya jumuia za kimataifa ambazo hazikuwa zinakubalika na Mhimili (OIC) na walipofanikiwa hilo kina Njelu kasaka wakaendelea na mambo mengine

hata zilipoanza vurugu za Richmond wachache sana ndio walielewa motive yake

napenda tu kukufahamisha kuwa Kamati kuu za Vyama vyote vikubwa asilimia zaid ya 70 wamejaa 'Mtu kazi'
 
CCM haitotawala milele ila itatawala miaka mingi sana kwa kuwa inatumia style ile ile ya kuzubaisha watu na watu wanazubaa kweli


wamesahau ya kina Anna Kilango, Harison Mwakyembe, Kangi Lugora n.k

CCM ni kama Mto unaotirirsha maji…ukikutana na Ugogo na chafu mwingi unazuga kujitenga na kutengeneza matawi tofauti na wanakuja kuungana mbele ya safari wakishavuka vigingi

Luhaga 2025 atakuwa Mwenyekiti wa Kampeni za Mama kanda ya Ziwa Inshallah bi idhni llah!
Kwamba HOJA ya KATIBA mpya ataitosa?

Nachagua kupingana nawe ktk Hilo,

CCM Si wamoja.

CCM wangekuwa wamoja wasingemtosa unec Mpina.

Tusubiri
 
Kwamba HOJA ya KATIBA mpya ataitosa?

Nachagua kupingana nawe ktk Hilo,

CCM Si wamoja.

CCM wangekuwa wamoja wasingemtosa unec Mpina.

Tusubiri
Mimi ni mwana CCM kwa mwaka wa 46 nikiwa na akili timamu…nakifahamu vyema sana

tuendelee kusubiri na tuombe uhai na uzima wa Afya na Mifukoni tuweze kuendelea kuwemo humu

uliwahi kudhani kuna siku Prof.Palamagamba, Humphrey Polepole na Dr Bashiru watakejeli hoja za umuhimu wa Katiba mpya?

usile kiapo wala usiweke udhamini kwny misimamo ya Mwanasiasa hasa hasa wa Tanzania
 
Back
Top Bottom