Luhaga Mpina ulichoma nyavu za wavuvi, huna unalali wa kuwataja mafisadi

Luhaga Mpina ulichoma nyavu za wavuvi, huna unalali wa kuwataja mafisadi

LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
Maswali:
1. Mpina alichoma nyavu za wavuvi kwa mujibu wa Sheria au kinyume cha Sheria?

2. Ufisadi unaodaiwa kufanyika umefanywa kwa mujibu wa Sheria au kinyume cha Sheria?
 
Maswali:
1. Mpina alichoma nyavu za wavuvi kwa mujibu wa Sheria au kinyume cha Sheria?

2. Ufisadi unaodaiwa kufanyika umefanywa kwa mujibu wa Sheria au kinyume cha Sheria?
Hivi sasa samaki wamekuwa adimu kwa sababu wa uvuvi holela !!
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
kuachwa ni shughuli pevu....

hasira za kutemwa uwaziri kelele za chura....
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
Hapana, anao uhalali wa kuyataja majizi na matapeli hayo uliyoyaorodhesha hapo. Hayo yote yakamatwe yanyongwe
 
Mpina ni shujaa wa watanzania masikini.Alisimamia eneo lake vema kulinda uwepo wa samaki.Kanda ya ziwa tunamkubali labda nyie mafisadi mnaotaka kugawana rasilimali za nchi
Kwani wavuvi siyo kati ya watanzania masikini. Angekwenda huko ambako wavuvi wananunua nyavu akazuia kuliko kuwachomea wavuvi na kuwafilisi mitaji yao kwa kuwachomea nyavu zao.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mwigulu bhana!!
Kwa hiyo umeona ujisafishe huku kwa hizo hoja dhaifu......
 
Kwamba kwasababu Mpina alichoma nyavu haramu ndio apuuzwe kwa kuibua Ufisadi wa SGR na Upigaji mwingine.

Mimi nitasimama na Mtu yeyote yule MZALENDO.
Tupo pamoja sipendezwi na mambo ya hovyo uanayoendelea.
 
Mpina piga pini tu mkuu, wabaya wako ndio hawahawa mafisadi ndio wanakusakama!
Ukiwa mkweli ni lazima utachukiwa na wasioupenda ukweli !
Na utatengenezewa skendo ili ukatishwe tamaa !!
Lakini ukweli siku zote una tabia ya kujidhihirisha hata ukifichwa kwa namna yeyote ile !
Panapo ukweli uongo hujitenga !
Ngoja Tusubiri tuone ! 🙏🙏
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
Mwigulu amekutuma?

Kanda ya Ziwa tuna imani na Mpina, sana.
 
Nilifikiri utasema alichoma nyavu kisa ana maslahi ziwani, lakini kama ni sheria basi haihusiani na kuwataja majizi ya fedha za umma

Huwa napata shida kwanini tunatafuta maneno ya hovyo hivi badala ya nchi nzima kupinga wizi ila unakuta watu wengine bado wanatetea ujambazi kama huo shame on you
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
Je hizo nyavu alizochoma zilikuwa zinaruhusiwa?? Uache uzuzu kwa kuzungumza fact na uweke mbali chuki

Ni mara ngapi nyavu zinachomwa kutokana na kuwa ndogo kiasi cha kuvua watoto wa samaki na hatimae kutokomeza mazalia ya samaki??

Kuongea bila fact ni kuropoka
 
Je hizo nyavu alizochoma zilikuwa zinaruhusiwa?? Uache uzuzu kwa kuzungumza fact na uweke mbali chuki

Ni mara ngapi nyavu zinachomwa kutokana na kuwa ndogo kiasi cha kuvua watoto wa samaki na hatimae kutokomeza mazalia ya samaki??

Kuongea bila fact ni kuropoka
Yaani naona hawaelewi sababu za kuchoma wanataka waelemishwe sana
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
Watu mnajitoa ufahamu sana kwa kulipwa vijicenti kidogo. Kuna uhusiano gani kati ya kuchoma nyavu na kutaja mafisadi? Nyavu kachoma Jana?, Ulikuwa wapi kulisema hili kipindi akichoma hizo nyavu?

Hakika kama hakusingizia, Mpina anatetea maslahi ya umma na ni mtu wa kutia moyo aifanye kazi hiyo kwa niaba ya umma. Kimekuuma nini yeye kutaja mafisadi?
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
kwahiyo hiyo ndo sababu? huna akili
 
LUHAGA MPINA ulichoma nyavu za wavuvi na kuwatia umasikini mkubwa huna uhalali wa kuwataja mawaziri kuhusika na ufisadi vinginevyo tuamini mna ugomvi binafsi.

Watu wa Kanda ya zIWA hana hamu na Mpina kwa maovu aliyoyafanya hana uhalali wa kuwashambulia binafsi Makamba, Mwigulu na Mbarawa ni mawaziri waadilifu.
Mpina awataje tu kama wanaiba pesa za umma. Kukosea wakati fulani hakumnyimi nafasi ya kukemea maovu kwasababu hakuna binadamu aliyekamilika
 
Back
Top Bottom