Luhaga Mpina: Ziwa Victoria linaenda kubakia kuwa swimming pool

Luhaga Mpina: Ziwa Victoria linaenda kubakia kuwa swimming pool

anataka turudi huku ?

FB_IMG_1648499814063.jpg
 

Huyu mwamba anakili mgando sana na kamwe hataki kubadilika katika kutafuta soln tofauti na anayo amini yeye, Uvuvi wa ziwani ni serikali kuwekeza serious kwanza katika kuzalisha vifaranga vya sangara, kuhamasisha jamii zinazozunguka ziwa kufuga samaki kisasa zaidi. Serikali iache kuvuna isichopanda na kuacha ubabe wa kishamba katika kutatua matatizo serious.

Mpina alikuwa waziri na alitumia muda mwingi kukamata na kuzunguka na ruler na mpaka leo hataki kuamini kama zipo njia janja rahisi na zenye matokeo makubwa kuliko.

Wekeni nguvu watu wafuge samaki na serikali zalisheni vifaranga za kutosha na waachilieni ziwani kuongeza population.

Zile tabia za uharibifu wa mazingira ndio kuangalia maji yanayoingia ziwani yanatoka wapi na yanakuja na nini katika kuharibu ziwa, kuongeza shughuli za uzalishaji mali kwa jamii kutafuta njia mbadala za kujikimu kupunguza shughuli za binadamu ziwani na kuweka hifadhi, kama vile mmetumia zaidi ya Tillioni 6 kujenga bwawa watu wapate umeme sasa tafuteni trilioni zingine 3 tu wekeni ziwani muone kama samaki wataongezeka au lah, hizi za kuendelea kusingizia raia maskini shida za kushindwa kutumia akili ni ushamba.
 
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea ugumu wa maisha kwa wananchi.

Msukuma anadaiwa kuendesha makundi makubwa ya wavuvi haramu na kuwahakikishia kuwa hawatakamatwa kwa kuwahadaa kuwa Rais Samia amekataza wananchi wasikamatwe waachwe wavue wanavyotaka kama sehemu yake ya kufungua nchi na kukuza biashara.

Msukuma anatuhumiwa kutumia jina la Rais vibaya kwa kushirikiana na Waziri Mashimba Ndaki ambaye jana Rais Samia ametangaza kukosa imani nae kutokana na usimamizi mbovu wa wizara yake.

Mashimba naye mara kadhaa amekuwa akilalamikiwa kuhusiana na kushamiri kwa uvuvi haramu Ziwa Victoria na hadi Gazeti la Raia Mwema liliwahi kuripoti juu ya Hatari ya kwisha kabisa kwa samaki katika Ziwa Victoria lakini Waziri huyo anadaiwa kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote kwa kuwa Rais amekataa wananchi wasionewe.

Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Ditopile akichangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2022/2023 Bungeni alieleza bayana hali ni mbaya ya kukosekana kwa samaki Ziwa Victoria na kutishia viwanda kufungwa lakini Waziri hakusikiliza ushauri huo na kuendelea kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote.
 
Mimi simulaumu Luhaga wala Serikali ya CCM mimi nina mulaumu mtu mweusi. mtu mweusi popote alipo ni shida.
Ofcoz ziwa victoria kwasasa ni swim pool... the same way tulivyomaliza misitu kwa kuchoma mkaa ndivyo tumemaliza vizazi vya samaki wa ziwa Victoria.
 
Hatua gani Sasa zichukuliwe?
Vijana wa cc msijifanye hamjui nini kifanyike mnajua sana na kuna wkt mnaona haibu kusema itumike njia kam aliyotumia the late JPM kuzuia kwa muda uvuvi wa samaki wadogo na kuwepo kwa usimamizi kwa wavuvi.

Na ikitokea ukakamatwa umevua samaki wadogo unapigwa stop, maana hata zile nyavu zinawekwa limit mwisho ni zenye ukubwa fulani.

So msijitie hamnazo wkt unaona mvua inakunya unajifanya haulowi!.
 
Back
Top Bottom